Kwahio ulitegemea hiyo Simba ya akina Jobe na Fred iende nusu?Kama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.
Je, hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa?
Suala ni mkataba ndo maana viongozi watakaa kikao kutoa maamuzi wiki ijayoKwahio ulitegemea hiyo Simba ya akina Jobe na Fred iende nusu?
Kwa wachezaji wepi hata yanga walihitaji wachezaji 6 wenye individual skills, ujuzi binafsi, ujasiri na akili ya kufanya maamuzi yenye Tija kwa wakati sahihiKama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.
Je, hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa?
hawana ubavu wa kumtimua ila yeye ndio atawatelekezaKama mnavyojua malengo waliyoku aliana Simba na Bechika ni kuipeleka simba nusufainali na sasa kafeli hivyo amebreach mkataba,hivyo uongozi na eye benchika watajadili jinisi ya kua Hana Kwa amani.
Je, hiyo hatua ya kutaka kusitisha mktaba wa benchika ni sawa ukichukulia aina ya team aliyopewa?
Mambo ya mipira hapo TU ndo panapochosha yani maisha ya kocha yapo mikononi mwa ushindi tu vikibuma huna kazi doh!
Sasa kocha wa Simba akifungwa na young tu basi anaondoka rasmi.Tujiandae kisaikologiaMambo ya mipira hapo TU ndo panapochosha yani maisha ya kocha yapo mikononi mwa ushindi tu vikibuma huna kazi doh!
.Kikubwa mamelod kafuzu NUSU FAINAL mengine taarabu tu za UTO