kocha wa simba Pablo Franco inawezekana ameletwa na GSM ili kuleta Fair competition kwenye ligi yetu pendwa

kocha wa simba Pablo Franco inawezekana ameletwa na GSM ili kuleta Fair competition kwenye ligi yetu pendwa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
kama title inavyosomeka hapo juu kutokana na uchambuzi wangu wa kisoka inawezekana kocha wa timu ya madrid ya bongo (kolo fc) pablo franco ameletwa na brand kampuni kubwa ya GSM ili kuleta fair competition kwenye ligue yetu pendwa kutokana na ndugu zetu hawa kuanza kulia lia mapema kwamba hakuna fair competition kwenye ligue ...........ndipo GSM Ikaona ngoja iwaridhishe ndugu zetu hawa wasije kususia ligi na kushuka daraja kama ni kweli basi tuwape hongera GSM



nini maoni yenu kuhusu hili
Ni mim mchambuzi wenu ......na mwanazuoni wa soka
 
253620720_275280284609478_6484100909306035049_n.jpg
 
wanazuoni wa soka😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom