kocha wa simba Pablo Franco inawezekana ameletwa na GSM ili kuleta Fair competition kwenye ligi yetu pendwa

kocha wa simba Pablo Franco inawezekana ameletwa na GSM ili kuleta Fair competition kwenye ligi yetu pendwa

257837441_427340102253521_68877979023584201_n.jpg
 
kama title inavyosomeka hapo juu kutokana na uchambuzi wangu wa kisoka inawezekana kocha wa timu ya madrid ya bongo (kolo fc) pablo franco ameletwa na brand kampuni kubwa ya GSM ili kuleta fair competition kwenye ligue yetu pendwa kutokana na ndugu zetu hawa kuanza kulia lia mapema kwamba hakuna fair competition kwenye ligue ...........ndipo GSM Ikaona ngoja iwaridhishe ndugu zetu hawa wasije kususia ligi na kushuka daraja kama ni kweli basi tuwape hongera GSM



nini maoni yenu kuhusu hili
Ni mim mchambuzi wenu ......na mwanazuoni wa soka
Afu mwisho wa msimu mje na kejeli zenu tena. Maana makombe hatuwaachiiii ng'oo nyie mbebe ile blenda tu basi na ngao.ya jamii haya ya FA na NBC PL sahauni. Ubingwa haushangiliwi mwanzoni na GSM anasubiria wachezaji na makocha wakuokota ambao wanalipwa bei za kutupa 🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Na hapa bado unaendelea na Mtihani wa Form IV unakuja na Ujinga huu! Sijui ukimaliza Mtihani na kurudi Mtaani utakuwa Mpuuzi kiasi gani manake najua hufaulu.
 
Back
Top Bottom