Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angalia pajilake la uso linaonesha hamnazoHivi huyu jamaa post zake huwa mnazipendeaga nn? Daily anaongeaga pumba tuu uchambuzi umshinde.
Afu mwisho wa msimu mje na kejeli zenu tena. Maana makombe hatuwaachiiii ng'oo nyie mbebe ile blenda tu basi na ngao.ya jamii haya ya FA na NBC PL sahauni. Ubingwa haushangiliwi mwanzoni na GSM anasubiria wachezaji na makocha wakuokota ambao wanalipwa bei za kutupa 🤣🤣🤣🤣🤣.kama title inavyosomeka hapo juu kutokana na uchambuzi wangu wa kisoka inawezekana kocha wa timu ya madrid ya bongo (kolo fc) pablo franco ameletwa na brand kampuni kubwa ya GSM ili kuleta fair competition kwenye ligue yetu pendwa kutokana na ndugu zetu hawa kuanza kulia lia mapema kwamba hakuna fair competition kwenye ligue ...........ndipo GSM Ikaona ngoja iwaridhishe ndugu zetu hawa wasije kususia ligi na kushuka daraja kama ni kweli basi tuwape hongera GSM
nini maoni yenu kuhusu hili
Ni mim mchambuzi wenu ......na mwanazuoni wa soka