Kocha wa Simba simwelewi

Kocha wa Simba simwelewi

Paul Patrick Ausems simweli kama kiwango chake kimefikia mwisho ama kimeshuka.

Jinsi simba inavyocheza eneo la ulinzi na eneo la 18 ndani ya eneo la adui ni aina ya ucheza wa ovyo kabisa.

Simba wamekuwa na pasi fupi fupi zisizokuwa na malengo na mabeki hurudi nyuma badala ya kukaba wanaposhambuliwa.

Wachezaji wa simba wamekuwa hawakimbii na hakuna upigaji wa Mashuti nje ya mita 18 toka eneo la adui. Yaani Simba sasa inacheza bora liende na bidii binafsi za wachezaji na bahari ya kimpira.

Kila nikiiangalia Simba naona kabisa tatizo liko kwa kocha na mfumo wake wa uchezaji.
Hiyo ni formula mpya katika soccer
 
Samahani lakini
20190422_195534.jpeg
 
Tate Mkuu ukitaka kujua tatizo si wachezaji bali ni mfumo wa uchezaji unaopendwa na kocha. angalia wanavyocheza sasa. Kila wakati utaona kipindi cha kwanza ni kama anajaribu aina fulani ya uchezaji isiyoeleweka kwa wachezaji wa Simba.

Cha kushangaza, mtu kama Bukaba, fatigue inatoka wapi wakati alikuwa hapangwi sana kwenye CCL?, Mlipili yuko wapi? hivi Coach anashindwa kucheza na combination itakayoruhusu Mlipili, Bukaba na Gyan kuziba nafasi ya Coulybali? huyo Coulybali kwa sasa ni hatarishi. Timu pinzani kuna kitu simple wamemsoma ndiyo wanatumia. Hata Mazembe, nahisi hilo ndiyo jambo kubwa walilolisoma namna ya kuimaliza SIMBA. Hakuna zaidi, walimtumia Ochaya kupiga mipira ya juu mirefu, kulibali hawezi kukimbia, tukafungwa.
 
Cha kushangaza, mtu kama Bukaba, fatigue inatoka wapi wakati alikuwa hapangwi sana kwenye CCL?, Mlipili yuko wapi? hivi Coach anashindwa kucheza na combination itakayoruhusu Mlipili, Bukaba na Gyan kuziba nafasi ya Coulybali? huyo Coulybali kwa sasa ni hatarishi. Timu pinzani kuna kitu simple wamemsoma ndiyo wanatumia. Hata Mazembe, nahisi hilo ndiyo jambo kubwa walilolisoma namna ya kuimaliza SIMBA. Hakuna zaidi, walimtumia Ochaya kupiga mipira ya juu mirefu, kulibali hawezi kukimbia, tukafungwa.


Kwa alliance, Hassan Dilunga; Rshidi Juma LAZIMA WATUMIKE kwa namna ya kimkakati.
 
Cha kushangaza, mtu kama Bukaba, fatigue inatoka wapi wakati alikuwa hapangwi sana kwenye CCL?, Mlipili yuko wapi? hivi Coach anashindwa kucheza na combination itakayoruhusu Mlipili, Bukaba na Gyan kuziba nafasi ya Coulybali? huyo Coulybali kwa sasa ni hatarishi. Timu pinzani kuna kitu simple wamemsoma ndiyo wanatumia. Hata Mazembe, nahisi hilo ndiyo jambo kubwa walilolisoma namna ya kuimaliza SIMBA. Hakuna zaidi, walimtumia Ochaya kupiga mipira ya juu mirefu, kulibali hawezi kukimbia, tukafungwa.
Kila kifo kina sababu tulivyofungwa na Mazembe pia lazima kuwe na sababu ila haimaanishi kama siku ile asingecheza Coulibaly Simba asingefungwa halafu hapo unaongelea Bukaba na wote tunamjua namna yake ya uchezaji au mnataka ampange mrudishe tena lawama kwake lawama mnazotoa ni nyingi kana kwamba simba ilikuwa na kikosi bora cha kubeba CCL ila uchebe katuangusha au Simba ilitakiwa ishinde mechi zote TPL ila uchebe ndio chanzo kufungwa mechi hizo mbili wakati tunaona timu zote duniani zinafungwa kama kawaida japo zinabeba ubingwa simba yetu hii ina wachezaji gani wa ajabu hata ikifungwa kamechi kamoja tu mtu ufungue uzi wa kumlaumu kocha as if ulikuwa unamsubiri afungwe
 
Gwele hakuna mtu anayesema kwamba Simba ni timu bora sana isiyowezekana kabisa kufungwa. Na wala huu uzi haujafunguliwa kwa ajili ya simba kufungwa na Kagera.
 
Back
Top Bottom