Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam wana jamvi!
Kocha mkuu waTaifa stars afungishwa virago baada ya kufungwa goli tatu na uganda!
Ni wazi Timu ya taifa nayo ni ya kuvunja kufukuza kocha haliwezi kuwa suluhu.
Pia kamati ya utendaji imelivunja benchi la ufundi hadi hapo litakapo tangazwa upya
Kocha mkuu waTaifa stars afungishwa virago baada ya kufungwa goli tatu na uganda!
Ni wazi Timu ya taifa nayo ni ya kuvunja kufukuza kocha haliwezi kuwa suluhu.
Pia kamati ya utendaji imelivunja benchi la ufundi hadi hapo litakapo tangazwa upya