Taratibu JF inaacha kuwa forum ya great thinkers. What a shame!
Its a shame indeed! Watu wanadhani simba au yanga ndo timu ya taifa. No wonder watu wana define utaifa kama kuunga mkono mtu flani. Ujinga mtupu, ndo maana tuko maskini si kwa bahati mbaya
Its a shame indeed! Watu wanadhani simba au yanga ndo timu ya taifa. No wonder watu wana define utaifa kama kuunga mkono mtu flani. Ujinga mtupu, ndo maana tuko maskini si kwa bahati mbaya