Kocha wa Taifa Stars Amunike ameidhalilisha sana Simba SC katika Uteuzi wake hivyo siishangilii tena Taifa Stars hadi akiondoka / akifukuzwa

Kocha wa Taifa Stars Amunike ameidhalilisha sana Simba SC katika Uteuzi wake hivyo siishangilii tena Taifa Stars hadi akiondoka / akifukuzwa

Taratibu JF inaacha kuwa forum ya great thinkers. What a shame!

Its a shame indeed! Watu wanadhani simba au yanga ndo timu ya taifa. No wonder watu wana define utaifa kama kuunga mkono mtu flani. Ujinga mtupu, ndo maana tuko maskini si kwa bahati mbaya
 
Anawaacha wanaocheza game za kimataif na kuchukua wanaocheza game za mwanza. Fala sana

Ninapowaambia kuwa hapo hakuna Kocha muwe mnanielewa. Ukiona Mimi GENTAMYCINE namuwekea wasiwasi Mtu fulani tu jua kuwa 99.9% ana matatizo na hafai. Nadhani Tanzania haijawahi kupata Kocha wa Timu ya Taifa Taifa Stars ' Mpumbavu ' kama huyu. Utamuachaje nje Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala, Paul Bukaba na Hassan Dilung HD?
 
Genta acha ushabiki maandazi. Kikosi cha kwanza cha Simba kina Watanzania wangapi? Ukweli mchungu ni kuwa Simba ina wachezaji wa Kitanzania watatu tu; Manula, Mkude, na Boko, wengine wote huwa wanabadilishana kwa zamu- M. Hussein, Ndemla, Mzamilu, Kichuya nk.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
Kichuya bado kumbe yupo simba??...i didn't know that
 
Cha msingi mwacheni kocha akatafute matokeo na kikosi alichokiita..afterall kocha hawezi kuita wachezaji wote,anawaita wale tu ambao anaona watamfaa kwenye style yake ya football na gameplan ya mechi husika
 
Huwezi ukaita Wachezaji Watatu ( 3 ) wa Simba SC halafu ukawaita Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC. Kuanzia leo namchukia rasmi huyu Kocha na naomba Mungu tufungwe mechi zote kuanzia sasa. Na huwa nikimchukia Mtu huwa namchukia kweli. Nilikuwa namvumilia sana huyu Kocha na Mbichwa wake mkubwa pamoja na Pua lake ila naona kwa alichokifanya leo ni ' dhihaka ' kubwa kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC.

Kwahiyo ndani ya Simba SC amewaona Wachezaji Watatu tu Kipa Aishi Manula, Kiungo Mdogo wangu Kipenzi Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania na John Raphael Boko tu pekee? Ina maana Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala ' hakumuona? Ina maana Kiungo ' Fundi ' kabisa Hassan Dilunga hakumuona? Ina maana Beki mwenye Roho Mbaya Paul Bukaba hakumuona?

Kuanzia le siishangilii tena Taifa Stars na naomba ifungwe kila mechi itakazocheza hasa inayoanza hii na Uganda Cranes wiki chache tu zijazo. Kama Kocha huyu mwenye Chuki za wazi wazi na Simba SC na mwenye Mahaba mazito na Yanga SC akiondoka au akifukuzwa nitarejea Kuishangilia ila siyo kwa sasa. Kocha ' Mnafiki ' sana huyu na niwaambieni mapema tu TFF kwamba huyu Kocha Emanuel Amunike hatufai kabisa na mfukuzeni mapema kabla hatujamfukuza kwa ' Bakora ' pale Kwa Mchina ( Mama yangu Samahani ) pale Kwa Mkapa kama tulivyohimizwa tuuite.

Popote pale duniani Timu ya Taifa yoyote ile huwa inajazwa Kwanza na Wachezaji ama wa Timu iliyokuwa Bingwa katika Ligi husika ya hiyo nchi au inashiriki Michuano ya Kimataifa sasa huyu Bichwa Kubwa, Mimacho Kutumbua wenu na Pua Andazi Amunike ameita hao Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC kwa ' Vigezo ' gani? Yanga SC ndiyo Bingwa Mtetezi wa VPL ( sasa TPL ) hii inayoendelea? Yanga SC inashiriki Michuano ya Kimataifa kwa sasa?

Ameshaniharibia kabisa Siku yangu!

Nawasilisha.

Nakuunga mkono kabisa kwa hili...siyo sahihi kuwaita wachezaji watatu tu wa Simba ...nadhani angewaita pia Chama, Kagere, Okwi, Coulbaly, Kotei, Kwasi na kaddhalika...kiwango cha wachezaji hawa kiko juu, nashangaa kwanini huyu Amunike hakuwaita...tehtehtehtehh...huyu Amunike sijui yukoje...tehtehtehteh
 
Hakuna Kocha hapo Mkuu. Yaani Mimi Simpendi kabisa huyu Kocha ana Ubaguzi na Chuki za waziwazi kwa Wachezaji wa Simba SC na nadhani hatujui wana Simba SC tulivyo na sasa tutamfundisha Adabu na Tanzania hii ataiona Chungu hakyanani.
Kula ndimu au limao ukishindwa toa hiyo mimba ya Amunike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi ukaita Wachezaji Watatu ( 3 ) wa Simba SC halafu ukawaita Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC. Kuanzia leo namchukia rasmi huyu Kocha na naomba Mungu tufungwe mechi zote kuanzia sasa. Na huwa nikimchukia Mtu huwa namchukia kweli. Nilikuwa namvumilia sana huyu Kocha na Mbichwa wake mkubwa pamoja na Pua lake ila naona kwa alichokifanya leo ni ' dhihaka ' kubwa kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC.

Kwahiyo ndani ya Simba SC amewaona Wachezaji Watatu tu Kipa Aishi Manula, Kiungo Mdogo wangu Kipenzi Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania na John Raphael Boko tu pekee? Ina maana Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala ' hakumuona? Ina maana Kiungo ' Fundi ' kabisa Hassan Dilunga hakumuona? Ina maana Beki mwenye Roho Mbaya Paul Bukaba hakumuona?

Kuanzia le siishangilii tena Taifa Stars na naomba ifungwe kila mechi itakazocheza hasa inayoanza hii na Uganda Cranes wiki chache tu zijazo. Kama Kocha huyu mwenye Chuki za wazi wazi na Simba SC na mwenye Mahaba mazito na Yanga SC akiondoka au akifukuzwa nitarejea Kuishangilia ila siyo kwa sasa. Kocha ' Mnafiki ' sana huyu na niwaambieni mapema tu TFF kwamba huyu Kocha Emanuel Amunike hatufai kabisa na mfukuzeni mapema kabla hatujamfukuza kwa ' Bakora ' pale Kwa Mchina ( Mama yangu Samahani ) pale Kwa Mkapa kama tulivyohimizwa tuuite.

Popote pale duniani Timu ya Taifa yoyote ile huwa inajazwa Kwanza na Wachezaji ama wa Timu iliyokuwa Bingwa katika Ligi husika ya hiyo nchi au inashiriki Michuano ya Kimataifa sasa huyu Bichwa Kubwa, Mimacho Kutumbua wenu na Pua Andazi Amunike ameita hao Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC kwa ' Vigezo ' gani? Yanga SC ndiyo Bingwa Mtetezi wa VPL ( sasa TPL ) hii inayoendelea? Yanga SC inashiriki Michuano ya Kimataifa kwa sasa?

Ameshaniharibia kabisa Siku yangu!

Nawasilisha.
Wachezaji wanaotamba SSC ni wageni % kubwa . Amunike is right

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamuachaje mtu kama Shabalala kwa salsa...au Sure boy anavyoupiga mwingi hapo Azam...Angemuita basi hata Paul Godfrey wa Yanga...Sio Sonso na huyo Gadiel Michael hana shuhuri.
Hamna kocha hapo...kwanza sioni hata attacking midfielder hapo then jamaa anamuacha dilunga ina maana hamuoni au hamjui.
Naona mpango wake ni kwenda kuzuia tena huyu mjamaa.
 
Siwezi kumlaumu Amunike, mchawi wetu ni aliepitisha wachezaji 10 wa kigeni alichofanya Kocha ni kuangalia kwanza proffesional players wetu baada ya hapo akaanza kujazia wazawa!

Mechi za Simba na Vita pamoja na ile ya Alhy wachezaji wazawa hawakuzidi wanne.

Naamini Nyoni na Kapombe wangekuwa fit wangeongeza idadi ya wachezaji wa Simba.
Yote kwa yote wachezaji wetu wa ligi ya ndani wana tofautiana vitu vichache tu.
Imani inaponya mimi naamini tunamfunga mganda hapa Taifa hata kama kwa mbeleko
 
Huwezi ukaita Wachezaji Watatu ( 3 ) wa Simba SC halafu ukawaita Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC. Kuanzia leo namchukia rasmi huyu Kocha na naomba Mungu tufungwe mechi zote kuanzia sasa. Na huwa nikimchukia Mtu huwa namchukia kweli. Nilikuwa namvumilia sana huyu Kocha na Mbichwa wake mkubwa pamoja na Pua lake ila naona kwa alichokifanya leo ni ' dhihaka ' kubwa kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC.

Kwahiyo ndani ya Simba SC amewaona Wachezaji Watatu tu Kipa Aishi Manula, Kiungo Mdogo wangu Kipenzi Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania na John Raphael Boko tu pekee? Ina maana Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala ' hakumuona? Ina maana Kiungo ' Fundi ' kabisa Hassan Dilunga hakumuona? Ina maana Beki mwenye Roho Mbaya Paul Bukaba hakumuona?

Kuanzia le siishangilii tena Taifa Stars na naomba ifungwe kila mechi itakazocheza hasa inayoanza hii na Uganda Cranes wiki chache tu zijazo. Kama Kocha huyu mwenye Chuki za wazi wazi na Simba SC na mwenye Mahaba mazito na Yanga SC akiondoka au akifukuzwa nitarejea Kuishangilia ila siyo kwa sasa. Kocha ' Mnafiki ' sana huyu na niwaambieni mapema tu TFF kwamba huyu Kocha Emanuel Amunike hatufai kabisa na mfukuzeni mapema kabla hatujamfukuza kwa ' Bakora ' pale Kwa Mchina ( Mama yangu Samahani ) pale Kwa Mkapa kama tulivyohimizwa tuuite.

Popote pale duniani Timu ya Taifa yoyote ile huwa inajazwa Kwanza na Wachezaji ama wa Timu iliyokuwa Bingwa katika Ligi husika ya hiyo nchi au inashiriki Michuano ya Kimataifa sasa huyu Bichwa Kubwa, Mimacho Kutumbua wenu na Pua Andazi Amunike ameita hao Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC kwa ' Vigezo ' gani? Yanga SC ndiyo Bingwa Mtetezi wa VPL ( sasa TPL ) hii inayoendelea? Yanga SC inashiriki Michuano ya Kimataifa kwa sasa?

Ameshaniharibia kabisa Siku yangu!

Nawasilisha.
Wewe ni nani hata usienda uwanjani kuona taifa stars maana hakuna anae kutambua endelea na ubaguzi wako wa kijinga wa hali ya juu mpira hauendi hivyo eti mabingwa ,?viwango ndio vinaangaliwa kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi ukaita Wachezaji Watatu ( 3 ) wa Simba SC halafu ukawaita Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC. Kuanzia leo namchukia rasmi huyu Kocha na naomba Mungu tufungwe mechi zote kuanzia sasa. Na huwa nikimchukia Mtu huwa namchukia kweli. Nilikuwa namvumilia sana huyu Kocha na Mbichwa wake mkubwa pamoja na Pua lake ila naona kwa alichokifanya leo ni ' dhihaka ' kubwa kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC.

Kwahiyo ndani ya Simba SC amewaona Wachezaji Watatu tu Kipa Aishi Manula, Kiungo Mdogo wangu Kipenzi Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania na John Raphael Boko tu pekee? Ina maana Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala ' hakumuona? Ina maana Kiungo ' Fundi ' kabisa Hassan Dilunga hakumuona? Ina maana Beki mwenye Roho Mbaya Paul Bukaba hakumuona?

Kuanzia le siishangilii tena Taifa Stars na naomba ifungwe kila mechi itakazocheza hasa inayoanza hii na Uganda Cranes wiki chache tu zijazo. Kama Kocha huyu mwenye Chuki za wazi wazi na Simba SC na mwenye Mahaba mazito na Yanga SC akiondoka au akifukuzwa nitarejea Kuishangilia ila siyo kwa sasa. Kocha ' Mnafiki ' sana huyu na niwaambieni mapema tu TFF kwamba huyu Kocha Emanuel Amunike hatufai kabisa na mfukuzeni mapema kabla hatujamfukuza kwa ' Bakora ' pale Kwa Mchina ( Mama yangu Samahani ) pale Kwa Mkapa kama tulivyohimizwa tuuite.

Popote pale duniani Timu ya Taifa yoyote ile huwa inajazwa Kwanza na Wachezaji ama wa Timu iliyokuwa Bingwa katika Ligi husika ya hiyo nchi au inashiriki Michuano ya Kimataifa sasa huyu Bichwa Kubwa, Mimacho Kutumbua wenu na Pua Andazi Amunike ameita hao Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC kwa ' Vigezo ' gani? Yanga SC ndiyo Bingwa Mtetezi wa VPL ( sasa TPL ) hii inayoendelea? Yanga SC inashiriki Michuano ya Kimataifa kwa sasa?

Ameshaniharibia kabisa Siku yangu!

Nawasilisha.
Kumbe wewe Ni wale pingapinga kila kitu...!

Sometimes unakera
 
Kina Dilunga anawaachaje?Hivi Erasto Nyoni unamwacha unampanga Adrew vicent , Gadiel hamna kitu angemwacha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Dilunga hajawa mchezajj bhana, na Nyoni katoka majeruhi, hajarecover vzr... Mbona ushabiki.... Hiyo Simba ni wageni sio wazawa, watapewaje nafasi wakati kwenye club hawapewi nafasi????...
Ntajitahidi hivyo hivyo kuwaelewesha najua naongea na Mbumbumbu FC... Ila ni kazi ngumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishauzwa kwakua shabalala hajaitwa?... Hahahahaaa akili ni nywele
Write your reply...
mechi ishauzwa hiyo kama ile ya lesotho,tusubiri kudra za uganda la sivyo wapenzi wa mpira bongo tufanye shughuli nyingine...

kocha mnaijeria ha ha haaa we can't be serious aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom