Na alivyowaridisha kitu gani kipya walikifanya zaidi ya kuambulia vichapo toka kwa Capevede na Lesotho, bora ile timu yake ya kwanza iliweza pata walau droo Ugenini Uganda. Na kwa taarifa yenu, timu hii itafuzu, subiri muda utaongea.GENTAMYCINE
Usiumize kichwa bure khs huyu kocha fala kwa bifu lake kwa Simba.
Kama utakumbuka, kikosi chake cha kwanza tu aliwatimua wachezaji wa Simba kwa sababu zisizo na mashiko.
Timu ilipovurunda ndio akawarudisha.
Achana nae....mwisho wake na hao wanaombeba hauko mbali.
Wewe ni nani hata usienda uwanjani kuona taifa stars maana hakuna anae kutambua endelea na ubaguzi wako wa kijinga wa hali ya juu mpira hauendi hivyo eti mabingwa ,?viwango ndio vinaangaliwa kaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wewe Ni wale pingapinga kila kitu...!
Sometimes unakera
Hongera kujua kwingi .Mimi ni GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE a.k.a " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ". Una Swali jingine tena?
Mawazo mufilisi. Anyway hujalazimishwa kuisupport timu yetu ya taifa, kama vipi rudi kwenu Rwanda ukaipe support timu yenu Amavumbi. Sisi taiga stars ilipo nasi tupooo sana, hata kama wangeteuliwa wachezaji wa Mashujaa fc au Green Warriors, wakishavaa Uzi wenye Bendera yetu pendwa, sisi tuko nao tu, na huo ndiyo uzalendo, hutaki hama taiga ulazimishwi wala ubembelezwivkuipenda timu yetu. Safi sana kocha Amunikee usikubali kupangiwa na watu wasiojielewa watakupoteza.Ninapowaambia kuwa hapo hakuna Kocha muwe mnanielewa. Ukiona Mimi GENTAMYCINE namuwekea wasiwasi Mtu fulani tu jua kuwa 99.9% ana matatizo na hafai. Nadhani Tanzania haijawahi kupata Kocha wa Timu ya Taifa Taifa Stars ' Mpumbavu ' kama huyu. Utamuachaje nje Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala, Paul Bukaba na Hassan Dilung HD?
Kocha hafai kabisa yaani anamwita Boko anamwacha Kagere na Chama wanaoibeba Simba kila mechi
Wewe Genta wewe, yaani kwako Simba ni bora kuliko Taifa Stars! Simba yaweza kuuzwa kwa wawekezaji wasio Watanzania hata kesho, lkn Stars itabaki, hata wakibinafsisha kila kitu.Nitashangaa sana baada ya hii leo huyu Kocha ' Kutudhalilisha ' Sisi Wanasimba halafu bado Wana Simba SC sisi sisi tukawa tena tunaishangilia Taifa Stars. Tena nawaomba wana Simba SC wote hakuna kwenda Uwanjani kuanzia sasa na mechi ijayo Sisi sote tuishangilie Uganda Cranes ikiwa na Wachezaji wetu akina Okwi na Murshid. Kocha Amunike hatumtaki!
Nimesikia Uganda wanaleta U 23, kikosi cha kwanza watakuja watatu tu; Juuko, Okwi na mwingine ambaye simkumbuki.Write your reply...
mechi ishauzwa hiyo kama ile ya lesotho,tusubiri kudra za uganda la sivyo wapenzi wa mpira bongo tufanye shughuli nyingine...
kocha mnaijeria ha ha haaa we can't be serious aisee
Walitaka waitwe kina Zana, Wawa, Chama Gyan, Kotei na wengineo. Wanashindwa kuelewa kuwa Simba bila hao Mapro si lolote si chochote. Imagine timu first Eleven wote ni Mapro isipokuwa hao tu aliowaita kina Manura, Boko na Mkude, hao wengine kama hawatumiki ipasavyo mlitaka kocha awaite tu kwa kusikia kwamba ni wachezaji wazuri wakati hajawahi kuwashuhudia wakicheza uwanjani, acheni hizoo.Kocha hafai kabisa yaani anamwita Boko anamwacha Kagere na Chama wanaoibeba Simba kila mechi
washabiki wao ni wapumbavu hawawezi kukuelewa wenyewe wanataka wakaa benchi kina Dilunga ndo waitwe ,huu ni ushamba wa hali ya juuWalitaka waitwe kina Zana, Wawa, Chama Gyan, Kotei na wengineo. Wanashindwa kuelewa kuwa Simba bila hao Mapro si lolote si chochote. Imagine timu first Eleven wote ni Mapro isipokuwa hao tu aliowaita kina Manura, Boko na Mkude, hao wengine kama hawatumiki ipasavyo mlitaka kocha awaite tu kwa kusikia kwamba ni wachezaji wazuri wakati hajawahi kuwashuhudia wakicheza uwanjani, acheni hizoo.
We kweli shabiki maandaziNitashangaa sana baada ya hii leo huyu Kocha ' Kutudhalilisha ' Sisi Wanasimba halafu bado Wana Simba SC sisi sisi tukawa tena tunaishangilia Taifa Stars. Tena nawaomba wana Simba SC wote hakuna kwenda Uwanjani kuanzia sasa na mechi ijayo Sisi sote tuishangilie Uganda Cranes ikiwa na Wachezaji wetu akina Okwi na Murshid. Kocha Amunike hatumtaki!
usimdhihaki mpaka ukapitiliza ndugu, yawezekana akawa sawa na baba yako huyo, tunza heshima hata kwa kiwango kidogo, unaweza kuta kati ya wa4 hao Yanga wote wakala benchi na simba wa 3 wote wakacheza,all in all hata mimi kwa kiasi fulani huwa napata shida kidogo namna huyu kocha anavyounda kikosi,.Huwezi ukaita Wachezaji Watatu ( 3 ) wa Simba SC halafu ukawaita Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC. Kuanzia leo namchukia rasmi huyu Kocha na naomba Mungu tufungwe mechi zote kuanzia sasa. Na huwa nikimchukia Mtu huwa namchukia kweli. Nilikuwa namvumilia sana huyu Kocha na Mbichwa wake mkubwa pamoja na Pua lake ila naona kwa alichokifanya leo ni ' dhihaka ' kubwa kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC.
Kwahiyo ndani ya Simba SC amewaona Wachezaji Watatu tu Kipa Aishi Manula, Kiungo Mdogo wangu Kipenzi Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania na John Raphael Boko tu pekee? Ina maana Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala ' hakumuona? Ina maana Kiungo ' Fundi ' kabisa Hassan Dilunga hakumuona? Ina maana Beki mwenye Roho Mbaya Paul Bukaba hakumuona?
Kuanzia le siishangilii tena Taifa Stars na naomba ifungwe kila mechi itakazocheza hasa inayoanza hii na Uganda Cranes wiki chache tu zijazo. Kama Kocha huyu mwenye Chuki za wazi wazi na Simba SC na mwenye Mahaba mazito na Yanga SC akiondoka au akifukuzwa nitarejea Kuishangilia ila siyo kwa sasa. Kocha ' Mnafiki ' sana huyu na niwaambieni mapema tu TFF kwamba huyu Kocha Emanuel Amunike hatufai kabisa na mfukuzeni mapema kabla hatujamfukuza kwa ' Bakora ' pale Kwa Mchina ( Mama yangu Samahani ) pale Kwa Mkapa kama tulivyohimizwa tuuite.
Popote pale duniani Timu ya Taifa yoyote ile huwa inajazwa Kwanza na Wachezaji ama wa Timu iliyokuwa Bingwa katika Ligi husika ya hiyo nchi au inashiriki Michuano ya Kimataifa sasa huyu Bichwa Kubwa, Mimacho Kutumbua wenu na Pua Andazi Amunike ameita hao Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC kwa ' Vigezo ' gani? Yanga SC ndiyo Bingwa Mtetezi wa VPL ( sasa TPL ) hii inayoendelea? Yanga SC inashiriki Michuano ya Kimataifa kwa sasa?
Ameshaniharibia kabisa Siku yangu!
Nawasilisha.
[emoji23][emoji23][emoji23],chiefNakuunga mkono kabisa kwa hili...siyo sahihi kuwaita wachezaji watatu tu wa Simba ...nadhani angewaita pia Chama, Kagere, Okwi, Coulbaly, Kotei, Kwasi na kaddhalika...kiwango cha wachezaji hawa kiko juu, nashangaa kwanini huyu Amunike hakuwaita...tehtehtehtehh...huyu Amunike sijui yukoje...tehtehtehteh
Mkuu upo vzr kabisa kabisa,na hapa ulichokifanya "umeweka ushabiki pembeni",safi mkuu.Siwezi kumlaumu Amunike, mchawi wetu ni aliepitisha wachezaji 10 wa kigeni alichofanya Kocha ni kuangalia kwanza proffesional players wetu baada ya hapo akaanza kujazia wazawa!
Mechi za Simba na Vita pamoja na ile ya Alhy wachezaji wazawa hawakuzidi wanne.
Naamini Nyoni na Kapombe wangekuwa fit wangeongeza idadi ya wachezaji wa Simba.
Yote kwa yote wachezaji wetu wa ligi ya ndani wana tofautiana vitu vichache tu.
Imani inaponya mimi naamini tunamfunga mganda hapa Taifa hata kama kwa mbeleko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],washabiki wa Simba wanataka hawa nao waitwe StarsKocha hafai kabisa yaani anamwita Boko anamwacha Kagere na Chama wanaoibeba Simba kila mechi