Kocha wa Taifa Stars Amunike ameidhalilisha sana Simba SC katika Uteuzi wake hivyo siishangilii tena Taifa Stars hadi akiondoka / akifukuzwa

Kocha wa Taifa Stars Amunike ameidhalilisha sana Simba SC katika Uteuzi wake hivyo siishangilii tena Taifa Stars hadi akiondoka / akifukuzwa

1. Aishi Manula
2. Zana Coulibally
3. Mohammed Hussein Tshabalala
4. Paul Bukaba
5. Pascal Serge Wawa ' Sultani '
6. James Kotei
7. Clatous Chota Chama ' Tripple C '
8. Mdogo wangu mwenyewe Kinondoni, Mwananyamala na Kawe Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania
9. Mohammed Kagere ' Kijicho '
10. John Raphael Boko
11. Rashid Juma

Matokeo ni kama haya yafuatayo: Ama Simba 2 - JS Saoura 1 au Simba 1 - JS Saoura 0 au Simba 1 - JS Saoura 1

Je una jingine?
Kwa mechi ya leo hapo namba 4 afadhali wampange Nic Gyan au Mlipili, hii mechi ya leo ndio fainali, hii mechi ni 'do' or 'die', siamini uzoefu wa Bukaba kwa mechi kama hii.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaposema ' Sometimes ' ninakera je nimekuita uje ufungue huu ' Uzi ' wangu? Pumbavu.
You see.... Foul mouth

You can't post something in public and filter who reads

Create your group, select contributors and you will be happy

Otherwise tulia tu tukupe feedback bwana bisha-bisha and 'know it all' fella
 
Mmmh, hapo kwa Paul Bukaba mkuu umeingia chaka.... mimi ni Simba lakin hakuna beki boya tz kama yeye!

Sent using Jamii Forums mobile app

Umecheza Mpira wa Miguu wapi, lini na wa Kiwango gani Mkuu? Naomba tuanzie hapa Kwanza tafadhali kwani nina Mtu ambaye kweli anaujua Mpira na ameucheza kwa Kiwango Kikubwa hata cha UMISETA au UMISHUMTA au hata Ligi za Daraja za Tatu achilia mbali Daraja la Pili, Kwanza na Ligi Kuu asingesema kuwa Paul Bukaba siyo Beki mahiri. Halafu Wewe siyo Simba SC Mwenzetu kwani Simba SC hatuna ' Shabiki ' Ngumbaru na Popoma hivi kama ulivyo. Baki huko huko kwa ' Wapuuzi ' wenzio hao Yanga SC a.k.a Bakuli Msaada Omba Omba FC.
 
Mtu pekee aliyefifiza vipaji vya wazawa ni MO DEWJ.huwez huwa na kikos chenye wagen wengi kiasi kile.Mi ni mwanasimba damu ila siwez kumlaum Amunike kuchukua wachezaj watatu tu kwenye kukosi cha Simba.The man is right
 
Hata Mimi nimeshangaa sana yani kagere,chama,okwi,wawa,Juno,kotei,kwasi sijui kwanini amewaacha.KOCHA ATAKUWA NA MATATIZO HUYU
 
Huwezi ukaita Wachezaji Watatu ( 3 ) wa Simba SC halafu ukawaita Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC. Kuanzia leo namchukia rasmi huyu Kocha na naomba Mungu tufungwe mechi zote kuanzia sasa. Na huwa nikimchukia Mtu huwa namchukia kweli. Nilikuwa namvumilia sana huyu Kocha na Mbichwa wake mkubwa pamoja na Pua lake ila naona kwa alichokifanya leo ni ' dhihaka ' kubwa kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC.

Kwahiyo ndani ya Simba SC amewaona Wachezaji Watatu tu Kipa Aishi Manula, Kiungo Mdogo wangu Kipenzi Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania na John Raphael Boko tu pekee? Ina maana Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala ' hakumuona? Ina maana Kiungo ' Fundi ' kabisa Hassan Dilunga hakumuona? Ina maana Beki mwenye Roho Mbaya Paul Bukaba hakumuona?

Kuanzia le siishangilii tena Taifa Stars na naomba ifungwe kila mechi itakazocheza hasa inayoanza hii na Uganda Cranes wiki chache tu zijazo. Kama Kocha huyu mwenye Chuki za wazi wazi na Simba SC na mwenye Mahaba mazito na Yanga SC akiondoka au akifukuzwa nitarejea Kuishangilia ila siyo kwa sasa. Kocha ' Mnafiki ' sana huyu na niwaambieni mapema tu TFF kwamba huyu Kocha Emanuel Amunike hatufai kabisa na mfukuzeni mapema kabla hatujamfukuza kwa ' Bakora ' pale Kwa Mchina ( Mama yangu Samahani ) pale Kwa Mkapa kama tulivyohimizwa tuuite.

Popote pale duniani Timu ya Taifa yoyote ile huwa inajazwa Kwanza na Wachezaji ama wa Timu iliyokuwa Bingwa katika Ligi husika ya hiyo nchi au inashiriki Michuano ya Kimataifa sasa huyu Bichwa Kubwa, Mimacho Kutumbua wenu na Pua Andazi Amunike ameita hao Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC kwa ' Vigezo ' gani? Yanga SC ndiyo Bingwa Mtetezi wa VPL ( sasa TPL ) hii inayoendelea? Yanga SC inashiriki Michuano ya Kimataifa kwa sasa?

Ameshaniharibia kabisa Siku yangu!

Nawasilisha.
Sidhani kama ni haki kuchukua wachezaji ambao hawana consistency kwenye timu zao.
 
Hata Mimi nimeshangaa sana yani kagere,chama,okwi,wawa,Juno,kotei,kwasi sijui kwanini amewaacha.KOCHA ATAKUWA NA MATATIZO HUYU
Siku za nyuma kulikuwa na wazo la ku limit idadi ya foreign players. Hiyo ndiyo maana yake.
Kama starting lineup ya Simba inakuwa na Watanzania watatu, hao wengi wakuitwa Taifa Stars watatoka wapi?
Kocha lazima azingatie muda waliocheza wakiwa kwenye vilabu vyao.
 
Ninapowaambia kuwa hapo hakuna Kocha muwe mnanielewa. Ukiona Mimi GENTAMYCINE namuwekea wasiwasi Mtu fulani tu jua kuwa 99.9% ana matatizo na hafai. Nadhani Tanzania haijawahi kupata Kocha wa Timu ya Taifa Taifa Stars ' Mpumbavu ' kama huyu. Utamuachaje nje Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala, Paul Bukaba na Hassan Dilung HD?
Tazama na wachezaji aliowachukua kucheza hizo nafasi pia. Ktk hao wote, kumwacha Dilunga ndio angalau naweza kumtilia shaka, lkn sidhani kama hiki kikosi amekichagua peke yake, yupo mkurugenzi wa ufundi wa TFF, naye ni muhusika pia.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi ukaita Wachezaji Watatu ( 3 ) wa Simba SC halafu ukawaita Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC. Kuanzia leo namchukia rasmi huyu Kocha na naomba Mungu tufungwe mechi zote kuanzia sasa. Na huwa nikimchukia Mtu huwa namchukia kweli. Nilikuwa namvumilia sana huyu Kocha na Mbichwa wake mkubwa pamoja na Pua lake ila naona kwa alichokifanya leo ni ' dhihaka ' kubwa kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC.

Kwahiyo ndani ya Simba SC amewaona Wachezaji Watatu tu Kipa Aishi Manula, Kiungo Mdogo wangu Kipenzi Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania na John Raphael Boko tu pekee? Ina maana Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala ' hakumuona? Ina maana Kiungo ' Fundi ' kabisa Hassan Dilunga hakumuona? Ina maana Beki mwenye Roho Mbaya Paul Bukaba hakumuona?

Kuanzia le siishangilii tena Taifa Stars na naomba ifungwe kila mechi itakazocheza hasa inayoanza hii na Uganda Cranes wiki chache tu zijazo. Kama Kocha huyu mwenye Chuki za wazi wazi na Simba SC na mwenye Mahaba mazito na Yanga SC akiondoka au akifukuzwa nitarejea Kuishangilia ila siyo kwa sasa. Kocha ' Mnafiki ' sana huyu na niwaambieni mapema tu TFF kwamba huyu Kocha Emanuel Amunike hatufai kabisa na mfukuzeni mapema kabla hatujamfukuza kwa ' Bakora ' pale Kwa Mchina ( Mama yangu Samahani ) pale Kwa Mkapa kama tulivyohimizwa tuuite.

Popote pale duniani Timu ya Taifa yoyote ile huwa inajazwa Kwanza na Wachezaji ama wa Timu iliyokuwa Bingwa katika Ligi husika ya hiyo nchi au inashiriki Michuano ya Kimataifa sasa huyu Bichwa Kubwa, Mimacho Kutumbua wenu na Pua Andazi Amunike ameita hao Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC kwa ' Vigezo ' gani? Yanga SC ndiyo Bingwa Mtetezi wa VPL ( sasa TPL ) hii inayoendelea? Yanga SC inashiriki Michuano ya Kimataifa kwa sasa?

Ameshaniharibia kabisa Siku yangu!

Nawasilisha.
mahaba yanakuendesha ndugu
 
Kiongozi, leo umeteleza kidogo.

Usually, huwa unafanya uchambuzi wa issues zako kisayansi. Lakini leo mahaba ya timu yako pendwa yamefunika your usual reasoning.

Nilitegemea uzungumzie merits za walioachwa against waliochaguliwa. Kigezo hakiwezi kuwa idadi toka timu fulani. Je Bukaba ni bora kuliko waliochaguliwa kwenye nafasi yake? Ni mfano tu. Anaweza kuwa mzuri, lakini kama hachezi mechi nyingi kwenye timu yake, makocha wengi wa national team huwaacha wachezaji wa aina hiyo.

Mkuu, ni kweli hicho kikosi cha Amunike hakijajitosheleza hasa kwenye mabeki wa kushoto na kulia. Kessy na Gadiel Michael hawana wasaidizi wa maana wenye uzoefu iwapo wataumia. Huyu kocha nahisi ana hamu ya kupopolewa mawe iwapo tutafungwa Uganda.
 
Huwezi ukaita Wachezaji Watatu ( 3 ) wa Simba SC halafu ukawaita Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC. Kuanzia leo namchukia rasmi huyu Kocha na naomba Mungu tufungwe mechi zote kuanzia sasa. Na huwa nikimchukia Mtu huwa namchukia kweli. Nilikuwa namvumilia sana huyu Kocha na Mbichwa wake mkubwa pamoja na Pua lake ila naona kwa alichokifanya leo ni ' dhihaka ' kubwa kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC.

Kwahiyo ndani ya Simba SC amewaona Wachezaji Watatu tu Kipa Aishi Manula, Kiungo Mdogo wangu Kipenzi Jonas Gerald Mkude a.k.a Xavi Hernandez wa Tanzania na John Raphael Boko tu pekee? Ina maana Mohammed Hussein Zimbwe Jr ' Tshabalala ' hakumuona? Ina maana Kiungo ' Fundi ' kabisa Hassan Dilunga hakumuona? Ina maana Beki mwenye Roho Mbaya Paul Bukaba hakumuona?

Kuanzia le siishangilii tena Taifa Stars na naomba ifungwe kila mechi itakazocheza hasa inayoanza hii na Uganda Cranes wiki chache tu zijazo. Kama Kocha huyu mwenye Chuki za wazi wazi na Simba SC na mwenye Mahaba mazito na Yanga SC akiondoka au akifukuzwa nitarejea Kuishangilia ila siyo kwa sasa. Kocha ' Mnafiki ' sana huyu na niwaambieni mapema tu TFF kwamba huyu Kocha Emanuel Amunike hatufai kabisa na mfukuzeni mapema kabla hatujamfukuza kwa ' Bakora ' pale Kwa Mchina ( Mama yangu Samahani ) pale Kwa Mkapa kama tulivyohimizwa tuuite.

Popote pale duniani Timu ya Taifa yoyote ile huwa inajazwa Kwanza na Wachezaji ama wa Timu iliyokuwa Bingwa katika Ligi husika ya hiyo nchi au inashiriki Michuano ya Kimataifa sasa huyu Bichwa Kubwa, Mimacho Kutumbua wenu na Pua Andazi Amunike ameita hao Wachezaji Wanne ( 4 ) wa Yanga SC kwa ' Vigezo ' gani? Yanga SC ndiyo Bingwa Mtetezi wa VPL ( sasa TPL ) hii inayoendelea? Yanga SC inashiriki Michuano ya Kimataifa kwa sasa?

Ameshaniharibia kabisa Siku yangu!

Nawasilisha.
Ndugu yangu Mpendwa Gentamycine, chuki ikizidi huleta harara na harara nayo ikizidi huleta shindikizo la damu nayo ikizidi inaweza leta kifo. Tunakupenda sana hivyo basi,tunakusihi upunguze chuki zako kwani hata sisi ndugu zako tulipunguza chuki zetu tukaishabikia timu yako adhimu.
 
Back
Top Bottom