Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
Akiongea kwa ujasiri mkubwa Martin Nooij kocha mkuu wa taifa stars amesema timu yetu imefungwa magoli machache sana na timu ya taifa ya Misri.
Nakumbukua kauli yake kabla ya mechi alisema amejiandaa timu vizuri kwa kucheza pasi za haraka haraka na anamatumaini makubwa ya kupata ushindi.
Binafsi naona huyu kocha haelewi anachokifanya na ametuona sisi watanzania ni wapumbavu sana. Huyu kocha alitakiwa aondokee kulekule misri asirudi hapa tanzania.
Kitendo cha Jamal Malinzi kumpa fursa ya mwisho katika mashindano ya CHAN kitamfanya kocha huyu ajione mungu mtu.
Nakumbukua kauli yake kabla ya mechi alisema amejiandaa timu vizuri kwa kucheza pasi za haraka haraka na anamatumaini makubwa ya kupata ushindi.
Binafsi naona huyu kocha haelewi anachokifanya na ametuona sisi watanzania ni wapumbavu sana. Huyu kocha alitakiwa aondokee kulekule misri asirudi hapa tanzania.
Kitendo cha Jamal Malinzi kumpa fursa ya mwisho katika mashindano ya CHAN kitamfanya kocha huyu ajione mungu mtu.
