Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
Mtabadili kila aina ya makocha, tatizo si makocha tatizo ni uongozi wa TFF.
Kiongozi wa TFF Jamal Malinzi ni mbovu na wanaomsaidia wote ni wabovu, hawana ubunifu na hawana muono wa kujuwa wapi pakurekebisha, wewe fikiri kiongozi wa mpira wa karne hii anatangaza kuwa tatizo ni jezi! Khaa!
Tanzania soka linaweza kukuwa kwa haraka sana, ni ubunifu na mipango ya haraka na ya muda mrefu inayotakiwa ifanyike.
Hawa viongozi wa soka wamefikia mwisho wa fikra zao, hawawezi, hawawezi, hawawezi.
cc Bishanga
Mtabadili kila aina ya makocha, tatizo si makocha tatizo ni uongozi wa TFF.
Kiongozi wa TFF Jamal Malinzi ni mbovu na wanaomsaidia wote ni wabovu, hawana ubunifu na hawana muono wa kujuwa wapi pakurekebisha, wewe fikiri kiongozi wa mpira wa karne hii anatangaza kuwa tatizo ni jezi! Khaa!
Tanzania soka linaweza kukuwa kwa haraka sana, ni ubunifu na mipango ya haraka na ya muda mrefu inayotakiwa ifanyike.
Hawa viongozi wa soka wamefikia mwisho wa fikra zao, hawawezi, hawawezi, hawawezi.
cc Bishanga
Mtabadili kila aina ya makocha, tatizo si makocha tatizo ni uongozi wa TFF.
Kiongozi wa TFF Jamal Malinzi ni mbovu na wanaomsaidia wote ni wabovu, hawana ubunifu na hawana muono wa kujuwa wapi pakurekebisha, wewe fikiri kiongozi wa mpira wa karne hii anatangaza kuwa tatizo ni jezi! Khaa!
Tanzania soka linaweza kukuwa kwa haraka sana, ni ubunifu na mipango ya haraka na ya muda mrefu inayotakiwa ifanyike.
Hawa viongozi wa soka wamefikia mwisho wa fikra zao, hawawezi, hawawezi, hawawezi.
cc Bishanga
kwa hiyo unashauri jamal malinzi nae aachie madaraka?
Amma aachie madaaraka amma abadilike namna ya uongozi wake haraka sana. There is always a chance for improvement.
Akiongea kwa ujasiri mkubwa martn noij kocha mkuu wa taifa stars amesema timu yetu imefungwa magoli machache sana na timu ya taifa ya misri. Nakumbukua kauli yake kabla ya mechi alisema amejiandaa timu vizuri kwa kucheza pasi za haraka haraka na anamatumaini makubwa ya kupata ushindi. Binafsi naona huyu kocha haelewi anachokifanya na ametuona sisi watanzania ni wapumbavu sana. Huyu kocha alitakiwa aondokee kulekule misri asirudi hapa tanzania. Kitendo cha jamal malinzi kumpa fursa ya mwisho katika mashindano ya chan kitamfanya kocha huyu ajione mungu mtu.
Hapana, yule hawezi kuimprove...
Nashauri arudi Chit Chat tunyang'anyane vibinti. Kwenye fani hii hakuna atakayemlaumu. Kafuzu na Kabobea.
Mpira awaachie kina Leodgar Tenga.
Basi Jamal Malinzi aachie uongozi TFF kwa wanaoweza. Anawaumiza sana Watanzania.
cc Bishanga
Mtabadili kila aina ya makocha, tatizo si makocha tatizo ni uongozi wa TFF.
Kiongozi wa TFF Jamal Malinzi ni mbovu na wanaomsaidia wote ni wabovu, hawana ubunifu na hawana muono wa kujuwa wapi pakurekebisha, wewe fikiri kiongozi wa mpira wa karne hii anatangaza kuwa tatizo ni jezi! Khaa!
Tanzania soka linaweza kukuwa kwa haraka sana, ni ubunifu na mipango ya haraka na ya muda mrefu inayotakiwa ifanyike.
Hawa viongozi wa soka wamefikia mwisho wa fikra zao, hawawezi, hawawezi, hawawezi.
cc Bishanga
Pia jambo lingine ni kuhakikisha kuwa Timu zetu zinaundwa na wachezaji wetu (nazungumzia clubs), hili la kuruhusu wachezaji wa kigeni saba au nane na kuendelea ni kuwadumaza viojana wetu, hawana cha kujifunza. Ndio maana inapokuja suala la kwenda kucheza nje ya nchi kwa mechi kama hizi hatufanyi vizuri kwa kuwa sisi tumeshalemazwa na wachezaji wa kiegni, hawa wakwetu wanakosa uzoefu.........inauma
Mh.Mch.Msigwa:watu wale wale wenye akili zile zile hawawezi kuleta mabadiliko
Wanaruhusu wachezaji wa kigeni wengi wakati vijana wanaomaliza copa cocacola, airtel rising star au michuano ya rollingstone wanakosa timu kubwa za kuwachukua...
Hao wachezaji saba utakuta watano wamesajiliwa kwa mbwembwe kumbe ni vimeo hatari sana...
Jamal Malinzi na wenzake wafikirie hili kwa makini sana, hatujafika levels za afrika kusini au nchi za kiarabu kwenye soka...