Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Amuulize boss wa Horoya kilichomkuta na dharau zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kocha wa Horoya na yule rais wao walianza hivi hivi. Ni kwamba hawa Wydad tunawakamua hapa hapa kwa Mkapa na kwao.[emoji404]
"Nilikua siijui Simba, nimekuja kuijui baada ya kupangwa na Raja Casablanca kwenye makundi,Kwa jinsi nilivyoiona mechi mbili na Raja,inabidi mashabiki wao wazidishe maombi"
Juan Carlos Garrido kocha wa Wydad
SureMpira una matokeo ya ajabu sana...
Hakuna Kocha anayestahili kuitwa jina hilo akatamka maneno ya Kiutopolo kama haya .[emoji404]
"Nilikua siijui Simba, nimekuja kuijui baada ya kupangwa na Raja Casablanca kwenye makundi,Kwa jinsi nilivyoiona mechi mbili na Raja,inabidi mashabiki wao wazidishe maombi"
Juan Carlos Garrido kocha wa Wydad
[emoji404]
"Nilikua siijui Simba, nimekuja kuijui baada ya kupangwa na Raja Casablanca kwenye makundi,Kwa jinsi nilivyoiona mechi mbili na Raja,inabidi mashabiki wao wazidishe maombi"
Juan Carlos Garrido kocha wa Wydad
Anafuata nyayo za kocha wa Horoya!! Kocha wa Horoya alipokuja Dar alisema Simba ni timu ndogo yenye makelele mengi mtandaoni!! Jibu alilipata kwa mkapa baada ya kupigwa wiki!! Aliondoka kimya kimya!!! Uzuri Wydad wanaanzia kwa Mkapa!!📝
"Nilikua siijui Simba, nimekuja kuijui baada ya kupangwa na Raja Casablanca kwenye makundi,Kwa jinsi nilivyoiona mechi mbili na Raja,inabidi mashabiki wao wazidishe maombi"
Juan Carlos Garrido kocha wa Wydad