Kocha wa Yanga afungiwa kuiongoza timu yake katika mechi tatu. Mwamuzi aliyekataa goli la Ruvu Shooting afungiwa miezi mitatu

Na awe tayari kutumikikia adhabu.. Anataka ligi iende anavyotaka yeye.
Simba anabebwaje hapa sasa kama sio woga umewajaa
 
Mfano hai n hizi mechi za ufunguzi, mtu katoka Botswana moja kwa moja kwenye mechi. Aliyekuwa Dar kaachwa mpaka Alhamisi apumue..Wallah Karia anaua.
Mpewe nyie mpange ratiba, sababu kila kitu mnajua.
Umecheza mechi tar 24 hadi 28.. unalalamika
Simba tar 25 hadi 29 tatizo nini?
 
Yanga ni Kubwa kuliko tff wewe. Hafu unapendekeza huyo ndevu Wa mbumbumbu FC apewe timu ya taifa wakati hata nyie mbumbumbu wenyewe mmemweka tenge. Useless sredi hii.

Kwanini unateseka Kiongozi? Na hapo bado mtakoma na huyo Kocha wenu Mpuuzi Mwinyi Zahera.
 
Hapa nusura tushuke daraja... ilishakuwa zilipendwa.
1988 simba alibebwa na Yanga katika mechi ya mwisho kwa simba kushinda 2-1 na Coast Kuwait bingwa. Yanga walikubali kuukosa ubingwa ili ambebe simba isishuke daraja.
 
1988 simba alibebwa na Yanga katika mechi ya mwisho kwa simba kushinda 2-1 na Coast Kuwait bingwa. Yanga walikubali kuukosa ubingwa ili ambebe simba isishuke daraja.
Historia, ila inapotoshwa! Kama Simba angefungwa na Yanga hata magoli kumi, angebaki na pointi 19 (kumbuka wakati huo mshindi alikuwa anapata pointi 2, droo point 1 na kufungwa point 0). Sasa kwa point 19, Simba bado angebaki kuwa juu ya timu mbili za chini! Wazee wa historia msipotoshe πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

 
Muongo Mkubwa wewe makocha ulaya wameendelea/wataendelea kuwalaumu marefa watapofanya fyongo
Kwa hiyo unaunga mkono juhudi za Zahera kuwalaumu marefa waliokataa goli la Ruvu Shooting πŸ˜… πŸ˜… πŸ˜…
 
1988 simba alibebwa na Yanga katika mechi ya mwisho kwa simba kushinda 2-1 na Coast Kuwait bingwa. Yanga walikubali kuukosa ubingwa ili ambebe simba isishuke daraja.View attachment 1197449
Acha uongo...
Simba alimaliza na point 21 ukitoa za kuwafunga Yanga mechi ya mwisho zinabaki point 19.
Wa chini yake alishuka akiwa na point 18.. Sasa alibebwaje?
NB:Kumbuka kipindi hicho ushindi ni point 2.
 
Acha uongo...
Simba alimaliza na point 21 ukitoa za kuwafunga Yanga mechi ya mwisho zinabaki point 19.
Wa chini yake alishuka akiwa na point 18.. Sasa alibebwaje?
NB:Kumbuka kipindi hicho ushindi ni point 2.
Ilo jedwali lamsimamo wa ligi ni la mwaka1989.Simba alibebwa 1988. Simba 1989 simba alimaliza naAfrican sport pale Taifa mechi Iilikua 1-1. Yanga ilimaliza na majimaji SongeaYanga ikashinda 1-0 Kwa golila kichwa laAbeid. Mziba na kuutwaa ubingwa kutoka Kwa Cost.
Simba alibebwanaTukuyustars baada ya kutokasareya 5-5 mwaka 1987, Akabebwa na Yanga1988, Akabebwa naAfrican Sports 1989 Kwa sare ya 1-1 pale Shamba la bib.
 
Mbona hueleweki..?
Unaposema alibebwa unamaana alipewa point za bure au refa aliwapendelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…