kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,341
Mkuu linaonekana kirahisi tu. Ni namba 1 kabla ya kipa Wa Tunduwazi FC. Asante kagera kwa kutoboa Tundu na kuacha uwaziHuwezi kuona Hilo kirahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu linaonekana kirahisi tu. Ni namba 1 kabla ya kipa Wa Tunduwazi FC. Asante kagera kwa kutoboa Tundu na kuacha uwaziHuwezi kuona Hilo kirahisi
Kumbe kuna mambo mengi tu hujui yanavyokuwa. Kanuni zinatungwa na Bodi ya Ligi mapema kabisa kabla mashindano hayajaanza. Bodi ya Ligi inaundwa na wajumbe ambao kuna mwakilishi katika kila lkabu inayoshiriki ligi husika, ikiwamo Yanga. Kama humjui mjumbe wa Bodi ya Ligi anayeiwakilisha Yanga, waulize viongozi wako wakutajie fasta, ili maswali mengine umuulize huko huko, kwamba kwa nini ulipitisha katazo la vipensi wakati unajua kocha wetu anavipenda?Hizo kanuni kwani zimewekwa na Mungu hadi tusihoji?
Ungewashauri TFF ndo waache kuhangaikia hivyo vitu vidogo vidogo.
Wale ni ngozi nyeupe baba,wanapaswa hata kuwa uchi Wa mnyama muda woteWakina kim Paulsen mbona walikua wanavaa vibukta tu
Labda umejisahau ukidhani msimu huu point zinaendelezwa za msimu uliopita. Ngoja nikuwekee msimamo wa ligi uwaone waliotobolewa matundu msimu huu, na mengine yakakataliwaMkuu linaonekana kirahisi tu. Ni namba 1 kabla ya kipa Wa Tunduwazi FC. Asante kagera kwa kutoboa Tundu na kuacha uwazi
Muongo Mkubwa wewe makocha ulaya wameendelea/wataendelea kuwalaumu marefa watapofanya fyongoUtovu wa nidhamu wa makocha, marefa hayo yanawahusu akina nani?
Nyie mnpenda sana kulinganisha na EPL kwamba mfanane nao Kwenye sheria.
Je uliwahi sikia kocha anamjadili refaree au chama cha soka cha Uingereza baada ya mechi ka ambavyo anafanya Zahera.
Wezetu wamelidhibiti hilo huoni kocha akimjadili refaree hata kama kafanya makosa ya wazi, FA ndo wenye wajibu wa kuchukua hatua.
Kuelekea mechi ya Ruvu shooting...Makocha kuvaa suti kunasaidiaje kuinua soka letu?
Mfano hai n hizi mechi za ufunguzi, mtu katoka Botswana moja kwa moja kwenye mechi. Aliyekuwa Dar kaachwa mpaka Alhamisi apumue..Wallah Karia anaua.Zahera yupo sahihi kuituhumu bodi ya ligi. We hadi pre season inakaribia kuisha na sijui iliisha kabisa, ratiba ya ligi haijulikani kweli!? Halafu kama bodi ya ligi ipo kwa ajili ya kuibeba simba ni lazima isemwe,hata asiposema Zahera tutasema sisi mashabiki
Na hazitatoka hadi msimu uisheMkuu naona stress za ud songo bado zinawasumbua
Hapana... ndio wameshalizwa hivyo.Lile goli la Ruvu linarudi?
Anavaa kama Dogo janja.mimi mpira wa bongo umenipita kushoto kwani jamaa anavaaga vikuku au?
Acha hizo wewe Rais Wa nchi alituambia wana Simba wanatembea wazi baada ya Tundu kutobolewa na Kagera Sugar. Au hukuwepo taifa/hata clip hukuona?Labda umejisahau ukidhani msimu huu point zinaendelezwa za msimu uliopita. Ngoja nikuwekee msimamo wa ligi uwaone waliotobolewa matundu msimu huu, na mengine yakakataliwa
Mzee lawama sijui kama angejibuHivi Zahera hakuulizwa kuhusu goli la Ruvu lililokataliwa?
Mwaka huu mjipange.. mmeanza lawama mapema sanaWanavofanya ni sawa na kuwafunga miguu timu nyingine ili mikia washinde kirahisi
Kwenye vikombe vinne (4) amekosa vyote msimu uliopita.Hizi zahera anacheza namba ngapi pale yanga?maana TFF na mabwanyenye fc wanamhofia sana huyu jamaa.
VOGORO FC .....mmefurahiKamati ya Bodi ya Ligi Kuu ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chake cha Septemba 2, 2019 ilipitia matukio mbalimbali ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/2020 iliyoanza rasmi Agosti 24, 2019 na kufanya uamuzi ufuatao;
Mechi namba 9- Yanga 0 vs Ruvu Shooting 1. Mwamuzi Msaidizi Janeth Balama amefungiwa miezi mitatu kwa kushindwa kutafsiri sheria, hivyo kusababisha akatae bao halali lililofungwa na Ruvu Shooting katika mechi hiyo iliyofanyika Agosti 28, 2019 Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Adhabu dhidi yake imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 39(1) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Waamuzi.
Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ametozwa faini ya sh. 500,000 (laki tano) kwa kuvaa mavazi yasiyo nadhifu na ya heshima katika mechi hiyo, kinyume na Kanuni ya 14(2m) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo. Adhabu dhidi yake imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 41(13) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Makocha.
Klabu ya Yanga imepewa Onyo Kali kwa kushindwa kuhakikisha Kocha wake Mwinyi Zahera anaongoza benchi la ufundi la timu yake akiwa katika mavazi nadhifu na ya heshima. Adhabu dhidi ya klabu hiyo ni kwa mujibu wa Kanuni ya 14(3) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
Mkurugenzi wa Ruvu Shooting, Masau Bwire ametozwa faini ya sh. 200,000 (laki mbili), kwa kuingia ndani ya uwanja (eneo la kuchezea) baada ya filimbi ya mwisho, kinyume na Kanuni ya 14(10) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo. Adhabu dhidi yake imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 14(49) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amefungiwa kuiongoza timu yake katika mechi tatu za Ligi Kuu ya Vodacom kwa kutoa shutuma na kejeli kwa Bodi ya Ligi katika mkutano na waandishi wa habari baada ya mechi dhidi ya Ruvu Shooting. Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 41(9) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Makocha.
**********
My take;
Alionywa sana, alishauriwa mno ila Kiburi chake, Dharau zake na Kujambishwa ( Kujazwa Upepo ) na Mashabiki wake wa Yanga SC kulimpa Jeuri zaidi na akadhani kuwa Yeye ni mkubwa kuliko TFF na kudhani kuwa labda TFF inamuogopa sana kama ambavyo Viongozi wake wa Yanga SC na Mashabiki wa Yanga SC wanavyomuogopa na Kumnyenyekea.
Habari za hivi punde tu kutoka Mtandao wa TFF na ule wa Shaffih Dauda zinasema kwamba Kocha wa Yanga SC Mwinyi Zahera amefungiwa Mechi ( Michezo ) Mitatu na pia Kupigwa Faini ya Shilingi Laki Tano ( Tsh 500,000/= ) huku pia akiwa amepewa ONYO KALI katika mambo mengine.
Nitawadharau mno wana Yanga SC kama watasema na wataona Kocha wao huyu ameonewa kwani kama ni Kuvumiliwa na TFF amefanyiwa sana ila sasa acheni anyooshwe. Ni Kocha aliyekosa Staha na Utu kwa Mamlaka ya Mpira nchini Tanzania na Bodi yake ya Ligi pia.
Na raha zaidi inakuja pale wakati leo TFF kupitia Kamati yake ya Maadili na Sheria zikila ' Kichwa ' cha Kocha Mwinyi Zahera na Kumpa Adhabu hiyo na Kutosimamia Timu yake katika Bench kwa Mechi 3, habari za Kuaminika kabisa kutoka katika Vyanzo vyangu hakika na muhimu ndani ya Yanga SC vinasema kuwa Uongozi wa Yanga SC nao umeshampa Kocha Mwinyi Zahera Mechi Tatu ambazo akifanya vibaya tu ( akifungwa ) wanamtimua haraka kwani tayari Kocha kutoka Serbia wanamalizana nae huku akiwa anasaidiwa na Kocha anayekuja kwa Kasi sasa nchini Kenya na ambaye alishawahi pia Kuichezea Yanga SC kwa Mafanikio makubwa Bernard Mwalala.
Natoa pongezi ( kongole ) kubwa wa TFF kwa Kumpa Kocha wa Yanga SC hii Adhabu na akome kabisa. Mbona Kocha wa Simba SC Patrick Aussems ambaye CV yake ni ya juu zaidi ya mara Saba ya CV ya Kocha Mwinyi Zahera Yeye hana matatizo ni Mstaarabu mno hadi nadiriki sasa Kupendekeza kwa TFF kuwa kama wataweza basi hata Jukumu la kuwa Kocha Mkuu wa Taifa Stars yetu wakiona inafaa wampe tu Yeye.
Safi sana TFF ya Rais Wallace Karia.
Wanasema bukta ya timu inaruhusiwa au TrakWakina kim Paulsen mbona walikua wanavaa vibukta tu
Inaonekana hawataki vipedo tuZile jeans za Uchebe ni sawa?
Ruvu shooting vs TFFYanga FC v. TFF
Tayari tumeanza kufungwa. Mkakati walio nao TFF kuendelea kuminya ratiba Kama mwakajana na kutengeneza makosa. Hitimisho Simba aibuke mshindi