Zorani amepata timu inamlipa ela nyingi zaidi, ni kama vile nabi alipata timu Ila hakuamua kwenda akabakia yanga
Zoran ajafukuzwa Ila ameomba kuvunja Mkataba kwenda kwenye maslai makubwa
Ni kama ww mke wako aamue kuachana na ww wa IST aende Kwa mtu mwenye BMW