Fadlu alitoka Raja Casablanca ikiwa imechukua ubingwa na kombe la mfalme.Fadlu aliishusha timu daraja lakini akachukuliwa na Simba, acha unafiki
Data za sasa hivi leta.Huyo kocha katokea timu amefutwa baada ya mechi 6.
Fadlu alichukuliwa na Simba kutoka timu ipi?
Unafiki unao wewe wa kujaribu kuficha ukweli.