Fadlu alitoka Raja Casablanca ikiwa imechukua ubingwa na kombe la mfalme.Fadlu aliishusha timu daraja lakini akachukuliwa na Simba, acha unafiki
Tunazungumzia akiwa kocha mkuu sio kufanya kazi kwa mgongo wa mwenzieFadlu alitoka Raja Casablanca ikiwa imechukua ubingwa na kombe la mfalme.
Data za sasa hivi leta.Huyo kocha katokea timu amefutwa baada ya mechi 6.
Fadlu alichukuliwa na Simba kutoka timu ipi?
Unafiki unao wewe wa kujaribu kuficha ukweli.
Sasa alipokuwa kocha mkuu alikuja Simba?Una mtindiowa akili?Tunazungumzia akiwa kocha mkuu sio kufanya kazi kwa mgongo wa mwenzie
Mtindio wa akili unao wewe unayechukua uwezo wa kocha kwa kuwa kocha msaidizi badala ya profile yake aliyokuwa nayo walati akiwa kocha mkuu wa timu.Sasa alipokuwa kocha mkuu alikuja Simba?Una mtindiowa akili?
Kocha wa Azam R.Tausi amesema Gamondi alikuwa kocha wa viungo walipokuwa wakifanya kazi nae.Povu zimewajaa kuwapa habari kwamba kocha wenu mpya alikuwa kocha TX Galaxy na kwenye michezo 6 ya hivi karibuni hajashinda mechi hata moja.Kupoteza 4 sare 2.Mtindio wa akili unao wewe unayechukua uwezo wa kocha kwa kuwa kocha msaidizi badala ya profile yake aliyokuwa nayo walati akiwa kocha mkuu wa timu.
Kocha Hadi wachezaji weekend wanashinda club..imagine kocha anaimba mtoto kautakaa kautakaaAchague yanga au mimoshi
Kwenye vichwa vya mbumbumbu badala ya ubongo kuna mimavi tu mkuu so hawajui walisemalo..Fadlu aliishusha timu daraja lakini akachukuliwa na Simba, acha unafiki
Hizi habari zimejulikana baada ya kipigo cha Tabora United?Ni aibu kubwa kwa kocha kutosimamia nidhamu.Mbona hukumtaja Mhandisi ambaye ndio mkuu wa msafara kwenye hiyo misafara ya starehe?Kocha Hadi wachezaji weekend wanashinda club..imagine kocha anaimba mtoto kautakaa kautakaa
Aziz akimaliza anaondoka na akina Vanessa,pacome anaondoka na caren Simba,mkude anaondoka na kajala,raid anaondoka na mobebe,aucho nae anaokota msambwnda wake,tutarajie Nini mbeleni?
🤣😂🤣🤣Kocha Hadi wachezaji weekend wanashinda club..imagine kocha anaimba mtoto kautakaa kautakaa
Aziz akimaliza anaondoka na akina Vanessa,pacome anaondoka na caren Simba,mkude anaondoka na kajala,rais wao msomali anaondoka na mobebe,aucho nae anaokota msambwnda wake,tutarajie Nini mbeleni?
Wakati fadlu anakuja simba mashabiki wa yanga waliongea maneno kama hayaKwenye vichwa vya mbumbumbu badala ya ubongo kuna mimavi tu mkuu so hawajui walisemalo..
Huwezi kuombea ukiwa last card7 - stop
7 - stop
7 - stop
7 - stop
8 - kwangu
8 - kwangu
J - Naomba Mavi
Last card
3 - Nimemaliza.
Comments zako Huwa zinanifurahisha sana..Angesema ni marufuku kutumia madawa ya kusisimua misuli na kufanya ushirikina wangeterminate mkataba wake hapo hapo.
Taratibu basi unasigina kunguniKocha Hadi wachezaji weekend wanashinda club..imagine kocha anaimba mtoto kautakaa kautakaa
Aziz akimaliza anaondoka na akina Vanessa,pacome anaondoka na caren Simba,mkude anaondoka na kajala,rais wao msomali anaondoka na mobebe,aucho nae anaokota msambwnda wake,tutarajie Nini mbeleni?
Sasa si bora Pombe kuliko ushirina?Akatae uchawi aonyeshwe mlango wa kutokea
Wameniuzi sana sana yanga.mi nkajua kipiho Cha azam wanatakuja kulipa Kwa hasira ndo kwanza wanapigwa tatu..nna hasira nao hawa.ningekua na jezi ningeitupa chini ya uvunguTaratibu basi unasigina kunguni
Tutaelewana na washirikina mdogo mdogo ni wagumu kuelewaComments zako Huwa zinanifurahisha sana..