Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Huyu kocha ameajiriwa kuja kufundisha soka, sio kujifunza soka! Analipwa pesa nyingi sana kwa mwezi na gharama zote za malazi pamoja na usafiri ili tu aje afundishe soka! Yeye ni mtaalamu wa benchi la ufundi!
Iweje Leo anasema ameenda afcon kujifunza? Tunamlipa ili akajifunze? Au tunamlipa afundishe!? Tulitegemea yeye kutupa nguvu sisi sasa anatuondoa kwenye passion ya kushinda, aondolewe mapema inaonekana haijui kazi yake kwa sasaa.
Iweje Leo anasema ameenda afcon kujifunza? Tunamlipa ili akajifunze? Au tunamlipa afundishe!? Tulitegemea yeye kutupa nguvu sisi sasa anatuondoa kwenye passion ya kushinda, aondolewe mapema inaonekana haijui kazi yake kwa sasaa.