Kocha wetu stars anataka kutupanda kichwani atimuliwe kabla mechi haijaanza!

Kocha wetu stars anataka kutupanda kichwani atimuliwe kabla mechi haijaanza!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Huyu kocha ameajiriwa kuja kufundisha soka, sio kujifunza soka! Analipwa pesa nyingi sana kwa mwezi na gharama zote za malazi pamoja na usafiri ili tu aje afundishe soka! Yeye ni mtaalamu wa benchi la ufundi!

Iweje Leo anasema ameenda afcon kujifunza? Tunamlipa ili akajifunze? Au tunamlipa afundishe!? Tulitegemea yeye kutupa nguvu sisi sasa anatuondoa kwenye passion ya kushinda, aondolewe mapema inaonekana haijui kazi yake kwa sasaa.
 
Huyu kocha ,ameajiriwa kuja kufundisha soka, sio kujifunza soka! Analipwa pesa nyingi sana kwa mwezi na ghalama zote za malazi pamoja na usafiri ili tu aje afundishe soka ! Yeye ni mtaalamu wa benchi la ufundi ! Iweje Leo anasema ameenda afcon kujifunza? Tunamlipa ili akajufunze? Au tunamlipa afundishe!? Tulitegemea yeye kutupa nguvu sisi sasa anatuondoa kwenye passion ya kushinda ,aondolewe mapema inaonekana haijui kazi yake kwa sasaa
Mbona umeandika kwa kupaniki?
 
Tangu mwanzo wadau wa michezo tulishagundua hao TFF wameajiri kocha asiye na faida yoyote ile kwa timu ya Taifa. Hata huko kufuzu kwenyewe ilikuwa ni bahati nasibu tu.
 
Huyu kocha ameajiriwa kuja kufundisha soka, sio kujifunza soka! Analipwa pesa nyingi sana kwa mwezi na gharama zote za malazi pamoja na usafiri ili tu aje afundishe soka! Yeye ni mtaalamu wa benchi la ufundi!

Iweje Leo anasema ameenda afcon kujifunza? Tunamlipa ili akajifunze? Au tunamlipa afundishe!? Tulitegemea yeye kutupa nguvu sisi sasa anatuondoa kwenye passion ya kushinda, aondolewe mapema inaonekana haijui kazi yake kwa sasaa.
Walimu wako walipata sana tabu wakati unasoma
 
Hao wachezaji walioitwa ndio cream ya mwisho ya nchi kwahiyo inawezekana kaona viwango vyao akaona mwisho wa juhudi zao ulipo.Nchi za wenzetu wanawekeza kwenye mpira wa kweli sio mpira wa mdomoni na hamasa zakisiasa za muda mfupi.
 
Huyu kocha ameajiriwa kuja kufundisha soka, sio kujifunza soka! Analipwa pesa nyingi sana kwa mwezi na gharama zote za malazi pamoja na usafiri ili tu aje afundishe soka! Yeye ni mtaalamu wa benchi la ufundi!

Iweje Leo anasema ameenda afcon kujifunza? Tunamlipa ili akajifunze? Au tunamlipa afundishe!? Tulitegemea yeye kutupa nguvu sisi sasa anatuondoa kwenye passion ya kushinda, aondolewe mapema inaonekana haijui kazi yake kwa sasaa.
Vipi kama kauli yake ni mind games?, Unamkumbuka Mourinho na kauli zake za kudanganya makocha wenziwe.

Halafu uwe mkweli unapolinganisha uwezo wa Stars na hao wapinzani watatu.

DRC mwaka 1974 alikuwa bingwa wa afcon na akacheza kombe la dunia.

Zambia mwaka 2012 alibeba kombe la afcon mbele ya Ivory Coast ya kina Drogba na Yaya Toure.

Morocco kacheza nusu fainali ya kombe la dunia mwaka juzi.
 
Masaa Tisa so meng, CCM naomba leo wasikate umeme hii aibu sijui ntajifichia wapi
 
Huenda ikawa winning strategy. Kwamba timu itakayokutana nayo isikamie sanaa mwishowe tukashinda.
 
Kocha yupo sahihi sana;

Kama unakwenda AFCON kwa kushinda mechi mbili tu kwa kumfunga Uganda na Niger; na kutoa sare mbili , huku ukifungwa goli 4 na kushinda 3

Halafu unapangwa na DRC, Morocco na Zambia

Kwa ranking za FIFA zilizotoka Desemba 2023

Morocco nafasi ya 13
DRC nafasi ya 67
Zambia nafasi ya 84
Tanzania nafasi ya 121

Hilo kundi sisi ni underdogs hapo tukivuka ni bahati tu na mbaya zaidi tunaanza na Morocco
 
Back
Top Bottom