Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Yale aliyosemaga RPC wa Dodoma(Muroto) kipindi Cha Mwendazake ndio mtakishuhudia leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu ,chezaji wetu mmoja tu ndio anacheza team ya maana PAOK kwanini kocha asiseme tunaenda kujifunza ,stars wanapaswa kupongezwa hatua waliyofikia ni nzuri wafanye mara tano mfululizo tutadai kombeHuyu kocha ameajiriwa kuja kufundisha soka, sio kujifunza soka! Analipwa pesa nyingi sana kwa mwezi na gharama zote za malazi pamoja na usafiri ili tu aje afundishe soka! Yeye ni mtaalamu wa benchi la ufundi!
Iweje Leo anasema ameenda afcon kujifunza? Tunamlipa ili akajifunze? Au tunamlipa afundishe!? Tulitegemea yeye kutupa nguvu sisi sasa anatuondoa kwenye passion ya kushinda, aondolewe mapema inaonekana haijui kazi yake kwa sasaa.
Hahahaha ndio maana kocha kasema wnajjfunzaVipi kama kauli yake ni mind games?, Unamkumbuka Mourinho na kauli zake za kudanganya makocha wenziwe.
Halafu uwe mkweli unapolinganisha uwezo wa Stars na hao wapinzani watatu.
DRC mwaka 1974 alikuwa bingwa wa afcon na akacheza kombe la dunia.
Zambia mwaka 2012 alibeba kombe la afcon mbele ya Ivory Coast ya kina Drogba na Yaya Toure.
Morocco kacheza nusu fainali ya kombe la dunia mwaka juzi.
Usijali hizo ni mbinu tu za kocha,Nimechanga hela yangu unaniuma
Tuna akili mbovu kudhani kuwa tatizo ni kocha, viwango vya wachezaji wetuni vya chini sana. Hata aje Avram Grant kocha wa Zambia kwa wachezaji hawa tutapigwa tu.Hahahaha ndio maana kocha kasema wnajjfunza
Tena sio tu vya chini pia vya kawaida mno..Tuna akili mbovu kudhani kuwa tatizo ni kocha, viwango vya wachezaji wetuni vya chini sana. Hata aje Avram Grant kocha wa Zambia kwa wachezaji hawa tutapigwa tu.
Nchi hii inataka mapinduzi makubwa ya kimtazamo, huwezi kuwa na Baba Levo na Mwijaku kwenye suala linalohusu timu ya taifa halafu ukafika popote!.
Siasa zimeishi miaka mingi kwenye mpira wakati huo wenzetu wakijenga academies za soka za ukweli, wakifuata masharti yote ya mchezo.
Hiyo sio sababu ukishaitwa mchezaji wa team ya taifa cha kwanza ni morali ndio muhimu ila hawa wachezaji wetu hawa morali kabisa..Ndugu ,chezaji wetu mmoja tu ndio anacheza team ya maana PAOK kwanini kocha asiseme tunaenda kujifunza ,stars wanapaswa kupongezwa hatua waliyofikia ni nzuri wafanye mara tano mfululizo tutadai kombe