Kocha Yanga azungumzia Maandalizi kombe la Shirikisho

Kocha Yanga azungumzia Maandalizi kombe la Shirikisho

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,072
Reaction score
2,384
Kocha wa yanga Side azungumzia jinsi walivyojipanga kuzichabanga teams nyenzao itakazokutana nazo katika Kombe la Shirikisho la CRDB. Kocha amezungumzia umuhimu mkubwa wa kombe hilo na jinsi walivyojipanga kuhakikisha wanalibeba au kufika fainali.

Side ameonekana kuungwa mkono na wanayanga wengi ambao wanafaham mpira zaidi yake ambao wanaona kombe la shirikisho la CAF linalojumuisha teams za kimataifa si kitu ila hili la CRDB NDO LENYEWE SASA hivyo awekeze nguvu huku zaidi baada ya kuamua kujitoa kombe la CAF ambalo wanayanga wengi pia waliona linawapotezea muda.


Labani og na ngara23 Watatupatia habari kamili hawa wachambuzi nguli wa mpira na wanayanga wenye kuelewa sana mpira pamoja na akina OKW BOBAN SUNZU na Extrovert

Screenshot_2025-01-25-03-25-57-192_com.twitter.android~2.jpg
 
Kocha wa yanga Side azungumzia jinsi walivyojipanga kuzichabanga teams nyenzao itakazokutana nazo katika Kombe la Shirikisho la CRDB. Kocha amezungumzia umuhimu mkubwa wa kombe hilo na jinsi walivyojipanga kuhakikisha wanalibeba au kufika fainali.

Side ameonekana kuungwa mkono na wanayanga wengi ambao wanafaham mpira zaidi yake ambao wanaona kombe la shirikisho la CAF linalojumuisha teams za kimataifa si kitu ila hili la CRDB NDO LENYEWE SASA hivyo awekeze nguvu huku zaidi baada ya kuamua kujitoa kombe la CAF ambalo wanayanga wengi pia waliona linawapotezea muda.


Labani og na ngara23 Watatupatia habari kamili hawa wachambuzi nguli wa mpira na wanayanga wenye kuelewa sana mpira pamoja na akina OKW BOBAN SUNZU na Extrovert

View attachment 3213098
Nyiingi Mzee ata 10
 
Kocha wa yanga Side azungumzia jinsi walivyojipanga kuzichabanga teams nyenzao itakazokutana nazo katika Kombe la Shirikisho la CRDB. Kocha amezungumzia umuhimu mkubwa wa kombe hilo na jinsi walivyojipanga kuhakikisha wanalibeba au kufika fainali.

Side ameonekana kuungwa mkono na wanayanga wengi ambao wanafaham mpira zaidi yake ambao wanaona kombe la shirikisho la CAF linalojumuisha teams za kimataifa si kitu ila hili la CRDB NDO LENYEWE SASA hivyo awekeze nguvu huku zaidi baada ya kuamua kujitoa kombe la CAF ambalo wanayanga wengi pia waliona linawapotezea muda.


Labani og na ngara23 Watatupatia habari kamili hawa wachambuzi nguli wa mpira na wanayanga wenye kuelewa sana mpira pamoja na akina OKW BOBAN SUNZU na Extrovert

View attachment 3213098
Kutoka CAF champions mpaka COPCO CRDB cup. Kweli dunia inazunguka
Mtongozaji(Mwanaume): Baby niambie basi nifanye nini ili ujue kuwa nakupenda?
Mtongozwaji(Mwanamke): Ili nijue kuwa wanipenda naomba unisaidie kuipeleka Yanga robo fainali CAF msimu huu 2024/2025🤣🤣🤣
 
Kutoka CAF champions mpaka COPCO CRDB cup. Kweli dunia inazunguka
Mtongozaji(Mwanaume): Baby niambie basi nifanye nini ili ujue kuwa nakupenda?
Mtongozwaji(Mwanamke): Ili nijue kuwa wanipenda naomba unisaidie kuipeleka Yanga robo fainali CAF msimu huu 2024/2025🤣🤣🤣
Mbumbumbu wapo kombe gani?
 
Kama shirikisho la CAF ni looser hili la crdb mkononi litakua kombe la nini wakuu ,mana watoto wa Side Said Mnyamwezi wamelikamia vibaya mno
 
Kocha wa yanga Side azungumzia jinsi walivyojipanga kuzichabanga teams nyenzao itakazokutana nazo katika Kombe la Shirikisho la CRDB. Kocha amezungumzia umuhimu mkubwa wa kombe hilo na jinsi walivyojipanga kuhakikisha wanalibeba au kufika fainali.

Side ameonekana kuungwa mkono na wanayanga wengi ambao wanafaham mpira zaidi yake ambao wanaona kombe la shirikisho la CAF linalojumuisha teams za kimataifa si kitu ila hili la CRDB NDO LENYEWE SASA hivyo awekeze nguvu huku zaidi baada ya kuamua kujitoa kombe la CAF ambalo wanayanga wengi pia waliona linawapotezea muda.


Labani og na ngara23 Watatupatia habari kamili hawa wachambuzi nguli wa mpira na wanayanga wenye kuelewa sana mpira pamoja na akina OKW BOBAN SUNZU na Extrovert

View attachment 3213098
Hajielewi huyo fundi bomba
 
Back
Top Bottom