Kocha Yanga: Tutacheza kwa Nguvu na Kasi ya Ajabu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
β€œYanga wana historia kwenye uwanja tutakaotumia kesho, walipoteza mchezo wa Fainali hapa kwa kanuni lakini naamini walishinda mioyo ya wapenda mpira hapa Algeria, kesho ni siku nyingine na tutakuja na nguvu na kasi ya ajabu ya kutaka kushinda tena"

My Take
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kocha anaweza akawa na shauku hiyo ya kucheza kwa kasi ya ajabu, tatizo Wchezaji ni wazee
 
Chonde chonde msijidunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…