Tumecheza mechi 3 kwa siku nane tena tunasafiri mkoa kwa mkoa wachezaji wanachoka ila kwa perfomance ya leo nimefurahi sana.
Jambo lingine lililonifurahisha wachezaji wangu wanacheza mechi bila kula.Jana tunafanya mazoezi tunapewa barua na Tff kuwa tutacheza mechi saa kumi na mbili jioni.Saa nne usiku natumiwa e mail na Tff na kutuambia mechi itachezwa saa kumi na sio saa kumi na mbili wachezaji wameshalala wanajua program yao watakula breakfast saa tano,chakula watakula saa nane watu walioenda pre match meeting ndio wananiambia coach mechi saa kumi.
Nikamuambia mkuu wa habari wapigie waambie sababu gani mechi saa kumi?
Nikapiga simu kongo kwa secretary wa chama cha soka cha Kongo nakumuuuliza hivi mnaweza kubadilisha mechi saa nne usiku mechi inachezwa kesho akanijibu coach haiwezekani na haiwezi fanyika.
Unaweza kubadilisha mechi 24HRS kabla ya mechi haiwezi pita 24 hrs kisha wakabadilisha mechi
Sisi tulipanga wachezaji watakula saa nane na wachezaji wangu walilala siwezi kuwaamsha wachezaji niwagongee amkeni haraka tunacheza saa kumi No.Nimewaacha wachezaji tumekula breakfast tukaenda kucheza mechi.
Jambo lingine lililonifurahisha wachezaji wangu wanacheza mechi bila kula.Jana tunafanya mazoezi tunapewa barua na Tff kuwa tutacheza mechi saa kumi na mbili jioni.Saa nne usiku natumiwa e mail na Tff na kutuambia mechi itachezwa saa kumi na sio saa kumi na mbili wachezaji wameshalala wanajua program yao watakula breakfast saa tano,chakula watakula saa nane watu walioenda pre match meeting ndio wananiambia coach mechi saa kumi.
Nikamuambia mkuu wa habari wapigie waambie sababu gani mechi saa kumi?
Nikapiga simu kongo kwa secretary wa chama cha soka cha Kongo nakumuuuliza hivi mnaweza kubadilisha mechi saa nne usiku mechi inachezwa kesho akanijibu coach haiwezekani na haiwezi fanyika.
Unaweza kubadilisha mechi 24HRS kabla ya mechi haiwezi pita 24 hrs kisha wakabadilisha mechi
Sisi tulipanga wachezaji watakula saa nane na wachezaji wangu walilala siwezi kuwaamsha wachezaji niwagongee amkeni haraka tunacheza saa kumi No.Nimewaacha wachezaji tumekula breakfast tukaenda kucheza mechi.