Kocha Zinedine Zidane ajiuzulu kuifundisha Klabu ya Real Madrid

Uhusiano wake na Rais wa club ya Madrid Fiorentina Perez haupo vizuri kitambo kiufupi ni kua pamoja na kubeba makombe lakini bado Perez ajawahi kumkubali Zidane kama kocha bora mwenye mbinu even binafs sijawahi kumkubali kikubwa ana bahati ya kua na kikosi chenye nyota wengi...Vilevile uhusiano wa Ronaldo na Perez si mzuri mda tu...Zidane angeshaondolewa mda sema wachezaji mastaa wakiongozwa na Ronaldo walikua wanamuunga mkono
 
Naongezea hapa wachezaji walimpenda zidane ,uongozi hakuwa unamkubali
 
Zizou labda kakimbia Pressure na pengine hakupeda kuondoka na makosa.....
Legacy yake bado iko Juu, sio unasubiri kuwa Sacked....
Nina Imani atapata sehemu nyingine punde tu....Wenger here we go!!!!!!
Hakika bibie umenena vyema.
 
Dhambi ya Ramos kwa salah inaanza kuwatafuna taratibu.



Mpaka wiki ijayo ronaldo atakuwa zake Huko Marekani au China.


Karma is Bitch
 
Eeeeh!!...nimependa hiyo habari njema kuwa Wenger atamrithi!![emoji4][emoji4][emoji4]
 
 
 
ssa kwa nni koch bora ana jiuzulu
 

Umegusia kitu muhimu sana hapo, kwamba wachezaji waandamizi kuelewana na meneja.

Hata Mourinho naye aliondoka Chelsea kwa sababu tu hakuelewana na senior players na Wenger inasemwa kwamba Senior players walikuwa walishawishi under-performance.

Hivyo kama wewe ni meneja na unapata mafaniko kama ya "Zizzou" tena makombe ya CL mara tatu, unakwenda mahali popote pale hususan timu ya taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…