Kodi hii imefikia wakati Serikali iitazame upya kwa watumishi, inaumiza

Kodi hii imefikia wakati Serikali iitazame upya kwa watumishi, inaumiza

proff g

Senior Member
Joined
Jul 16, 2016
Posts
146
Reaction score
113
Kwa mujibu wa utumishi wa umma, mtumishi anatakiwa kukatwa kodi kwa kile anachokipata kwenye mshahara wake. Kama tunavyofahamu kodi nimuhimu kwa taifa lolote, lakini changamoto ya kodi hii ni maumivu kwa watumishi ktukana hali ya kupanda kwa gharama za maisha hasa mfumuko wa bei, mishahara ya watumishi imeendelea kuonekana ni midogo kwasababiu pia yakukatwa kodi hii. lakini jambo jengine ninalo liona ni double taxation(kukatwa kodi mara mbili) unakatwa kodii hii lakini utakapo fanya manunuzi mengine unakatwa fedha tena hili sio sawa. tunawaomba wataalamu walitazame hili.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-08-26 at 11.36.49 AM.jpeg
    WhatsApp Image 2024-08-26 at 11.36.49 AM.jpeg
    29.4 KB · Views: 8
Duh, halali ma teacher wawe na ghadhabu, kiumbe mmoja mikopo yote hiyo.
 
Mwamba huyu hapa. Mikopo yote hiyo usingizi anapata kweli? Lakini naona deductions ni ndogo ndogo na bado ameachiwa hela ya kula.

 
Mbona mikopo ni mingi sana mkuu
 
Sio kwamba hayo mamikopo ndo yanakuumiza? ukitoa PSSF, NIF, TAX, na CWT, mbona hela inabaki mkuu, hayo mamikopo ndo yanawaumiza, hapo umebakiza NMB, na BOT wangekuwa wanakopesha ungekopa
 
Kwa mujibu wa utumishi wa umma, mtumishi anatakiwa kukatwa kodi kwa kile anachokipata kwenye mshahara wake. Kama tunavyofahamu kodi nimuhimu kwa taifa lolote, lakini changamoto ya kodi hii ni maumivu kwa watumishi ktukana hali ya kupanda kwa gharama za maisha hasa mfumuko wa bei, mishahara ya watumishi imeendelea kuonekana ni midogo kwasababiu pia yakukatwa kodi hii. lakini jambo jengine ninalo liona ni double taxation(kukatwa kodi mara mbili) unakatwa kodii hii lakini utakapo fanya manunuzi mengine unakatwa fedha tena hili sio sawa. tunawaomba wataalamu walitazame hili.
Mengine ni kujitakia na ni lifestyle uliyoichagua mwenyewe.
Unataka serikali iingilie lifestyle yako ya kukopakopa uliyoichagua?
Yaani kisa wewe unakopakopa ili umiliki gari na simu kali ndiyo unataka serikali isikukate kodi? Are you serious?
 
Kwa mujibu wa utumishi wa umma, mtumishi anatakiwa kukatwa kodi kwa kile anachokipata kwenye mshahara wake. Kama tunavyofahamu kodi nimuhimu kwa taifa lolote, lakini changamoto ya kodi hii ni maumivu kwa watumishi ktukana hali ya kupanda kwa gharama za maisha hasa mfumuko wa bei, mishahara ya watumishi imeendelea kuonekana ni midogo kwasababiu pia yakukatwa kodi hii. lakini jambo jengine ninalo liona ni double taxation(kukatwa kodi mara mbili) unakatwa kodii hii lakini utakapo fanya manunuzi mengine unakatwa fedha tena hili sio sawa. tunawaomba wataalamu walitazame hili.
Mikopo yote hiyo uliyo nayo hafu bado unailalamikia serikali ebo! Hebu toa maujinga yako hapa.
 
Yaani hapo ataendelea na maisha hayo mpaka atakapostaafu kwa sababu kila mara atalazimika aende kutop up ili awe kusukuma baadhi ya mambo.
 
Kuna mtumishi mmoja kajenga nyumba tatu na viwanja anavyo na bila kukopa tena nyumba nyengine kajenga Dar ila sio Mwalim msininukuu vibaya
 
Chief hayo mamikopo yote uliyafanyia maendeleo au ulihonga mademu tu?
 
Mikopo mingi lakini yote ya kipuuzi.walimu ni kiboko ya mikopo.
 
Back
Top Bottom