Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Mapema wiki hii kodi mpya za miamala zimetoka ambapo baadhi ya wananchi tunalalamika zinatunyonya lakin pengine nahisi kuna mchezo tunachezewa.
Ukiangalia muda ambao suala limepitishwa ni kipindi ambacho vyama vya upinzani vinadai Katiba Mpya ambapo Rais akasema wamuache kwanza apambane na uchumi kwanza lakini wao hawakusitisha mikutano yao ya kulenga katiba ibadilishwe.
Suala la kujiuliza pengine Rais SSH labda ametaka kuzima suala la katiba mpya kijanja ambapo wanaupinzani nao wameamua kuingilia suala la kodi na kuacha kidogo hilo la katiba mpya. Binafsi naamini malalamiko yakiwa mengi kodi zitarudi kama ilivyokuwa awali kwani hata bei za vifurushi walifanya hivi hivi baadae wakarudisha.
NI SUALA LA MUDA TU
Ukiangalia muda ambao suala limepitishwa ni kipindi ambacho vyama vya upinzani vinadai Katiba Mpya ambapo Rais akasema wamuache kwanza apambane na uchumi kwanza lakini wao hawakusitisha mikutano yao ya kulenga katiba ibadilishwe.
Suala la kujiuliza pengine Rais SSH labda ametaka kuzima suala la katiba mpya kijanja ambapo wanaupinzani nao wameamua kuingilia suala la kodi na kuacha kidogo hilo la katiba mpya. Binafsi naamini malalamiko yakiwa mengi kodi zitarudi kama ilivyokuwa awali kwani hata bei za vifurushi walifanya hivi hivi baadae wakarudisha.
NI SUALA LA MUDA TU