ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Actually alisema ni milioni moja. Milioni moja contract ya 6.6 bn.si ndio hizi Wana tununulia sukari kwa ajili ya wananchi we si umesikia mpaka stationary inapewa tenda ya kuaagiza sukari ya bilioni 6btsh ili hali mtaji wake Ni milion50 tsh.
Kiuhalisia huyo mtu hajui chochote kuhusu hiyo biashara, anatumiwa tu kuanzisha kampuni.
Bilioni moja ni milion elfu moja.
Ni kiasi gani 6.6bn?