Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Tanzania yetu hii Mungu atusaidie tufanye kazi kwa pamoja tukishirikiana vizuri na vyombo vya mamlaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelinganisha Tanzania na nchi zipi?Habari Wanajamvi. Kuna tatizo kubwa Tanzania ambalo tusipoliongelea litatufikisha pabaya kama wananchi na kunufaisha serikali. Hivi kijana unahitimu chuo, siku ya mahafali, wageni rasmi ambao ni wenye wadhifa mkubwa kama spika wa bunge n.k. Anashika mic na kusema wahitimu mjiajiri huku mkijiangalia mko zaidi ya maelfu. Sawa unasema nisikae bure nyumbani ngoja nitafute namna nijiajiri. ume save ka ela kako kadogo ili ufungue hata biashara ya kukuingizia walau elfu mbili faida kwa siku unajikuta hela yote imeishia kwenye kodi kabla hata hujafungua hiyo Biashara yenyewe. Faida unaanza kuiona baada ya miezi kadhaa. Naongea kama mhanga wa hili jambo TRA mnatukaba sana sijui wengine wanaosota zaidi yangu wana survive vipi ila tusipo lisemea hili tutaisha. Na sijui kama liliwahi kuongelewa kwenye kampeni kwa raia mliopo karibu naMhe Rais jamani hali ni mbaya mtaani. Yaani TRA wanatamani wapite na majumbani mwa watu watoze kodi za vichwa. Hapo sijagusia ushuru wala tozo zingine maana thread haitaisha ila ni TOO MUCH[emoji1430].
Kwani lazima kuunganishaUmelinganisha Tanzania na nchi zipi?
nitaenda kulinganisha Nchi yangu na nchi nyingine kwa nauli ipi kwa mfano? Niko nakomaa na matatizo ya kwetu hadi niyatatue huko kwa watu si ndo ntakoma. Naongelea tatizo nliloliona kwetu ndo nna uzoefu naloUmelinganisha Tanzania na nchi zipi?
thechanzo.com
Ni week mbili zimepita nilipandishiana na Jamaa wa TRA baada ya kuona anataka kuninyonya, wenzangu/majirani nilio wakuta wao wamekubali kua wanyonge..
Nikamkazia Na kumchana kavu, Akaondoka akasema "dogo Hunijui Utafunga hio biashara hata hio sikukuu hutauza" akakunja mkia akasepa.
Kusema ukweli nilimkazia tuu ile kiume, ila sina ninaposhikia akiamua kunikazia,
Cha kushangaza naona kimya, kaja mara tatu Anapita na kama kuna jambo anfuata taratibu.
Kama hali ikiwa hivi, kweli kuna mda mkwara unasaidiaa,
Yule Atakua kahisi nina connection na wakubwa hasa akiangalia jina langu la ukoo,
Asijue kumbe ni kandondocha flan tu hivi.
Alishangaa huyu jamaa ni mgeni, wenyeji wananiogopa yeye ana nini?
Wanaolipa hizo tozo hata hawalalami sasa Wanaolalamika sio walipaji na kodi hawalipi jf raha sana [emoji28][emoji28]
tatizo ni kwamba hata ukiliongelea haiwezi kubadili chochoteHabari Wanajamvi. Kuna tatizo kubwa Tanzania ambalo tusipoliongelea litatufikisha pabaya kama wananchi na kunufaisha serikali. Hivi kijana unahitimu chuo, siku ya mahafali, wageni rasmi ambao ni wenye wadhifa mkubwa kama spika wa bunge n.k. Anashika mic na kusema wahitimu mjiajiri huku mkijiangalia mko zaidi ya maelfu. Sawa unasema nisikae bure nyumbani ngoja nitafute namna nijiajiri. ume save ka ela kako kadogo ili ufungue hata biashara ya kukuingizia walau elfu mbili faida kwa siku unajikuta hela yote imeishia kwenye kodi kabla hata hujafungua hiyo Biashara yenyewe. Faida unaanza kuiona baada ya miezi kadhaa. Naongea kama mhanga wa hili jambo TRA mnatukaba sana sijui wengine wanaosota zaidi yangu wana survive vipi ila tusipo lisemea hili tutaisha. Na sijui kama liliwahi kuongelewa kwenye kampeni kwa raia mliopo karibu naMhe Rais jamani hali ni mbaya mtaani. Yaani TRA wanatamani wapite na majumbani mwa watu watoze kodi za vichwa. Hapo sijagusia ushuru wala tozo zingine maana thread haitaisha ila ni TOO MUCH🙌🏽.
Kama umefunga biashara yako nakushauri nenda TRA katoe taarifa otherwise utakutana na malimbikizo ya kodi hautaaminiNdugu yangu, bishara nliyokua naifanya ni ya vitu vidogo vidogo tu vya kawaida nikasema haya maisha ya kushinda unategemea hela za kupewa siyataki acha nijipambanie mwenyewe. Trailer likaanza nazunguka manispaa sijui TRA sijui mjumbe kutafuta vibali etc, kodi nishalipa kila kitu nilisota na wanakwambia ulipe ile Tax clearance hata duka halijaanza yani mtu angenisimulia ningebisha ila nilijionea mwenyewe. Majukumu yalinizidi kodi ikawa inaenda kila siku wanaleta kodi mpya mara premise registration kama unauza chakula yani mlolongo nikaamua kufunga duka kwanza niheme nijipange upya ndo nirudi. Jamani TRA msipokuja na majibu ya haya maswala nitaleta barua mwenyewe ofisini kwenu. Kuna watu wanasota sana huko mtaani. Sijui mnataka tuishije tunafanya kazi bila kuangalia jinsia ili mradi usiwe tegemeo kwa mzazi ila mnatuvunja sana moyo. Sana
Wanaolipa hizo tozo hata hawalalami sasa Wanaolalamika sio walipaji na kodi hawalipi jf raha sana [emoji28][emoji28]
Nilishafanya haya mda mrefu sana. Niliwaambia kabisa nimefunga naombeni mniondoe kwenye hiyo system yenu. Na nadhani watu wengi wanakosa hii elimu kwamba ukifunga Biashara ni lazima ubadilishiwe TIN irudi kuwa personal. Watu wanakuja kulia mwishoni. TRA wameshindwa kuomba kipindi cha Tv kutoa elimu kama hizi wanasubiri kuchota pesa za watu. SawaKama umefunga biashara yako nakushauri nenda TRA katoe taarifa otherwise utakutana na malimbikizo ya kodi hautaamini
And by the way. Kulipa kodi ni wajibu na sio mapendeleo ya mtu. Hawalalamiki kwasababu hawajui wapi pa kulalamikia mimi najua wapi pa kusema. Na mambo yasipobadilika nitapeleka maombi mbele zaidi. Hii ni nchi yangu. Siikimbii na nitasolve matatizo yetu nikiwa humu. Be the change you want to see
Fanya uwaandikie barua TRA ya kisitisha biashara yako,kwa sababu wasipojua kwamba biashara yako ulifunga,watahesabu ulikuwa unafanya biashara,so utapigwa faini kiasi utafirisikaNdugu yangu, bishara nliyokua naifanya ni ya vitu vidogo vidogo tu vya kawaida nikasema haya maisha ya kushinda unategemea hela za kupewa siyataki acha nijipambanie mwenyewe. Trailer likaanza nazunguka manispaa sijui TRA sijui mjumbe kutafuta vibali etc, kodi nishalipa kila kitu nilisota na wanakwambia ulipe ile Tax clearance hata duka halijaanza yani mtu angenisimulia ningebisha ila nilijionea mwenyewe. Majukumu yalinizidi kodi ikawa inaenda kila siku wanaleta kodi mpya mara premise registration kama unauza chakula yani mlolongo nikaamua kufunga duka kwanza niheme nijipange upya ndo nirudi. Jamani TRA msipokuja na majibu ya haya maswala nitaleta barua mwenyewe ofisini kwenu. Kuna watu wanasota sana huko mtaani. Sijui mnataka tuishije tunafanya kazi bila kuangalia jinsia ili mradi usiwe tegemeo kwa mzazi ila mnatuvunja sana moyo. Sana