Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
- Thread starter
- #41
Cha kuchekesha humu Jf tutachekana ila behind keyboards kila mtu anajua kinachomuweka mjini. Mi nimewasilisha hoja wahusika wanapita watasoma. Wakistaafu watoto wao watakuja kuwaambia haya na watatamani wangeyafanya haya kipindi wakiwa madarakani ila mda huo ni too late so vizazi vinaendelea kusota.
Taja hzo tozo ambazo unaona unaonewa, pia umemskia mzee magufuli?? We lala [emoji28]