Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
- Thread starter
-
- #41
Taja hzo tozo ambazo unaona unaonewa, pia umemskia mzee magufuli?? We lala [emoji28]
Tuliwaambia njoo tuandamane mkatuona sisi wachocheziHabari Wanajamvi. Kuna tatizo kubwa Tanzania ambalo tusipoliongelea litatufikisha pabaya kama wananchi na kunufaisha serikali. Hivi kijana unahitimu chuo, siku ya mahafali, wageni rasmi ambao ni wenye wadhifa mkubwa kama spika wa bunge n.k. Anashika mic na kusema wahitimu mjiajiri huku mkijiangalia mko zaidi ya maelfu. Sawa unasema nisikae bure nyumbani ngoja nitafute namna nijiajiri. ume save ka ela kako kadogo ili ufungue hata biashara ya kukuingizia walau elfu mbili faida kwa siku unajikuta hela yote imeishia kwenye kodi kabla hata hujafungua hiyo Biashara yenyewe. Faida unaanza kuiona baada ya miezi kadhaa. Naongea kama mhanga wa hili jambo TRA mnatukaba sana sijui wengine wanaosota zaidi yangu wana survive vipi ila tusipo lisemea hili tutaisha. Na sijui kama liliwahi kuongelewa kwenye kampeni kwa raia mliopo karibu naMhe Rais jamani hali ni mbaya mtaani. Yaani TRA wanatamani wapite na majumbani mwa watu watoze kodi za vichwa. Hapo sijagusia ushuru wala tozo zingine maana thread haitaisha ila ni TOO MUCH[emoji1430].
Kama umefunga biashara fanya uwataarifu ili waweke rekodi zao sawa ili baadaye usije lia peke yako!Ndugu yangu, bishara nliyokua naifanya ni ya vitu vidogo vidogo tu vya kawaida nikasema haya maisha ya kushinda unategemea hela za kupewa siyataki acha nijipambanie mwenyewe. Trailer likaanza nazunguka manispaa sijui TRA sijui mjumbe kutafuta vibali etc, kodi nishalipa kila kitu nilisota na wanakwambia ulipe ile Tax clearance hata duka halijaanza yani mtu angenisimulia ningebisha ila nilijionea mwenyewe. Majukumu yalinizidi kodi ikawa inaenda kila siku wanaleta kodi mpya mara premise registration kama unauza chakula yani mlolongo nikaamua kufunga duka kwanza niheme nijipange upya ndo nirudi. Jamani TRA msipokuja na majibu ya haya maswala nitaleta barua mwenyewe ofisini kwenu. Kuna watu wanasota sana huko mtaani. Sijui mnataka tuishije tunafanya kazi bila kuangalia jinsia ili mradi usiwe tegemeo kwa mzazi ila mnatuvunja sana moyo. Sana
Tax Clearance ni bure lakin huwezi kuipata mpaka at least uwe umelipia quarter 1 au zaidi kadiri ya kodi uliyokadiriwa.Hailipiwi hio mzee ni free angalia chini kabisa imeandikwa “issued free of charge”
Tax Clearance ni bure lakin huwezi kuipata mpaka at least uwe umelipia quarter 1 au zaidi kadiri ya kodi uliyokadiriwa.
Hailipiwi hio mzee ni free angalia chini kabisa imeandikwa “issued free of charge”
Hamjaelewana. Champagnee Alielipa kalipa makadirio ya kodi sio kwamba kalipia tax clearance.Mungu wangu ni shahidi. Niliilipa na hadi leo stakabadhi ninayo. Nilipofika pale nilijaribu sana kueleweshwa hilo swala wakasema hapana lazima ulipe ndo upewe. Tena ilikua kama 83,333 kwa miezi mitatu. Ni wajeuri wale wadada tena ukikuta foleni ndo hata hakuangalii usoni. Anakwambia kalipe urudi kwenye foleni dada sogea nihudumie wengine. Wengi hawajui kama Biashara mpya haulipi. Mimi nimekuja kujua baada ya kufungua biashara. Tatizo lipo kubwa na TRA WANAJUA
Toa mapendekezo yako mkuuHabari Wanajamvi. Kuna tatizo kubwa Tanzania ambalo tusipoliongelea litatufikisha pabaya kama wananchi na kunufaisha serikali. Hivi kijana unahitimu chuo, siku ya mahafali, wageni rasmi ambao ni wenye wadhifa mkubwa kama spika wa bunge n.k. Anashika mic na kusema wahitimu mjiajiri huku mkijiangalia mko zaidi ya maelfu. Sawa unasema nisikae bure nyumbani ngoja nitafute namna nijiajiri. ume save ka ela kako kadogo ili ufungue hata biashara ya kukuingizia walau elfu mbili faida kwa siku unajikuta hela yote imeishia kwenye kodi kabla hata hujafungua hiyo Biashara yenyewe. Faida unaanza kuiona baada ya miezi kadhaa. Naongea kama mhanga wa hili jambo TRA mnatukaba sana sijui wengine wanaosota zaidi yangu wana survive vipi ila tusipo lisemea hili tutaisha. Na sijui kama liliwahi kuongelewa kwenye kampeni kwa raia mliopo karibu naMhe Rais jamani hali ni mbaya mtaani. Yaani TRA wanatamani wapite na majumbani mwa watu watoze kodi za vichwa. Hapo sijagusia ushuru wala tozo zingine maana thread haitaisha ila ni TOO MUCH🙌🏽.
Hamjaelewana. Champagnee Alielipa kalipa makadirio ya kodi sio kwamba kalipia tax clearance.
Mi limefika 10milKama umefunga biashara yako nakushauri nenda TRA katoe taarifa otherwise utakutana na malimbikizo ya kodi hautaamini