Kodi, ushuru na tozo za Tanzanua ni kero kubwa

Cha kuchekesha humu Jf tutachekana ila behind keyboards kila mtu anajua kinachomuweka mjini. Mi nimewasilisha hoja wahusika wanapita watasoma. Wakistaafu watoto wao watakuja kuwaambia haya na watatamani wangeyafanya haya kipindi wakiwa madarakani ila mda huo ni too late so vizazi vinaendelea kusota.
Taja hzo tozo ambazo unaona unaonewa, pia umemskia mzee magufuli?? We lala [emoji28]
 
Tuliwaambia njoo tuandamane mkatuona sisi wachochezi
 
Kabla sijaanzisha biashara yoyote nitamtafuta mtaalamu wa Kodi anipe shule nielewe kila kitu kabla sijaanza hatua ya kwanza.

Naona kuna shida watu wanaanza tu hatua then wakifikisha hatua ya 8/10 wanakuja kujua kuna mambo mazito ambayo angejua mwanzo asingeendelea na mchakato
 
Ushuru wa taka ushuru wa ulinzi shirikishi kodi TRA kodi ya pango.dawasa miter zao zinaenda mwendo kasi.umeme unanunua unakatwa rea.kazi ajira hakuna, vitu bei juu cement mafuta sukari nk. Biashara hakuna.nitakosaje kupata pressure na heart attack. Kila siku watu wanaondoka wanafariki kwa prressure ee mungu tuokoe
 
Kama umefunga biashara fanya uwataarifu ili waweke rekodi zao sawa ili baadaye usije lia peke yako!
 
Hailipiwi hio mzee ni free angalia chini kabisa imeandikwa “issued free of charge”
Tax Clearance ni bure lakin huwezi kuipata mpaka at least uwe umelipia quarter 1 au zaidi kadiri ya kodi uliyokadiriwa.
 
Ni kweli hali mbaya sana TRA na manispaa wanaua biashara za wajasilia Mali

Kuna mdada alimaliza chuo akafungua kabiashara kake akaenda akapata tin na lesene mwaka ukaisha akashindwa kurinuu leseni yake manispaa wakapita wakamkamata

Kule manispaa akakuta anadaiwa leseni elfu 80 na service Levy elfu 50 inabidi aanzie TRA nako wanataka 130000/=

Jumla 260000/= kwa kweli ukiangalia hicho kiduka ndani yake kuna vijuice maji na vocha kama akilipa hiyo kodi basi na biashara inakua imeishia hapo

Sasa kitu ambacho kimenishangaza ni hiki Mimi ambae sina taaruma yoyote ya ukusanyaji wa kodi nikiifanyia tathimini ile biashara naona kabisa haina uwezo wa kulipa hizo kodi

Je! Wao wanapoenda dukani kwa mjasilia Mali kwa nini hawafanyi hiyo tathimini ili kuona kama hiyo biashara ina uwezo huo au haina na kama haina wamuache ili ajijenge wamfuate tena baada ya mwaka mmoja

Ila wao kigezo chao kama unabishara ndani ya flemu basi haijalishi ni lazima tu ulipe kodi

Nilicho gundua kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofauti na watanzania huwa wanasoma lakini hawaelimiki
 
Hailipiwi hio mzee ni free angalia chini kabisa imeandikwa “issued free of charge”
Hamjaelewana. Champagnee Alielipa kalipa makadirio ya kodi sio kwamba kalipia tax clearance.
 
Toa mapendekezo yako mkuu
 
Subiri january ifike muone mziki wake .
Si mmeshaona hadi wafuga kuku wanatakiwa kibali?sasa kodi ya kichwa na ushuru wa baiskel unakuja na ole wako uko na kibaskel chako hakina stika uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…