Kodi ya Jengo: Mbona nakatwa kiwango cha juu sana?

Kodi ya Jengo: Mbona nakatwa kiwango cha juu sana?

Stevenbee

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
365
Reaction score
449
Alafu siishi gorofani daah tutafika kwel?

IMG_20210821_171714.jpg
 
Leo siku ya tatu hapa JF malalamiko kibao na ya kila aina, WADAU kulikoni?

Au Tozo zimezua jambo!
 
Wadau nadhani upande wa Tigo mambo hajawakalia sawa na hawakati kodi ya jengo, so chagamkieni huko. Nimenunua umeme bila kukatwa chochote sasa hivi!
Screenshot_20210821-175841_Gallery.jpg
 
After all, wamejuaje unaishi ghorofani? kuna jamaa anadai kakatwa kodi ya jengo kwenye biashara yake ya welding na mwingine kwenye kufyatua matofali pasipo kuwa na jengo lolote...
😁😁😁😁 Dadek tutaelewana tu
 
Back
Top Bottom