Kodi ya Jengo: Mbona nakatwa kiwango cha juu sana?

Kodi ya Jengo: Mbona nakatwa kiwango cha juu sana?

After all, wamejuaje unaishi ghorofani? kuna jamaa anadai kakatwa kodi ya jengo kwenye biashara yake ya welding na mwingine kwenye kufyatua matofali pasipo kuwa na jengo lolote...
Hizo mita zimefungwa vipi kama sio kwenye jengo ?

Anyway kuna wadau ambao wanaframe nadhani itabidi waende TRA ili mita nyingine zichomolewe kwenye mfumo wa Kodi na ibaki mita moja (ila ninavyoijua hii Serikali mpaka kuja kuchomoa hizo kwenye mfumo itachukua muda) anyway hauchelewi kwenda Tanesco kusema mimi biashara yangu ni welding wakakupandishia na Tariff kwamba una kiwanda...

Hii nchi ishakuwa ngumu....
 
Hiyo ni Debt collected, unadaiwa kodi wewe lipa, kama hutaki usinunue umeme kaa gizani 🤣
 
Hizo mita zimefungwa vipi kama sio kwenye jengo ?

Anyway kuna wadau ambao wanaframe nadhani itabidi waende TRA ili mita nyingine zichomolewe kwenye mfumo wa Kodi na ibaki mita moja (ila ninavyoijua hii Serikali mpaka kuja kuchomoa hizo kwenye mfumo itachukua muda) anyway hauchelewi kwenda Tanesco kusema mimi biashara yangu ni welding wakakupandishia na Tariff kwamba una kiwanda...

Hii nchi ishakuwa ngumu....
Wewe unazugumzia kitu usichokijua kwani unafikikiri ukiomba umeme, TANESCO wanaweza tu kukuletea bila kuju unaufanyia kazi gani, nani kakuambia TANESCO wanakupandishia TAARIF ukiwaambia umeme natumia kwa shuguli fulani?
 
Wewe unazugumzia kitu usichokijua kwani unafikikiri ukiomba umeme, TANESCO wanaweza tu kukuletea bila kuju unaufanyia kazi gani, nani kakuambia TANESCO wanakupandishia TAARIF ukiwaambia umeme natumia kwa shuguli fulani?
Ukiomba umeme Tanesco wanajua unachofanya kabla ya kukupa mita ila hio haikuzuii kubadilisha matumizi katikati bila wao kujua au kubalisha.

Tariff zipo tofauti za Low Usage, Domestic usage n.k.; kwa watu wengi wanaotumia welding mashine kama upo karibu na karakana ya welding unaweza kuona kila wakifanya kazi zao umeme unafluctuate; huenda hawa watu wakienda Tanesco na kupewa Voltage tofauti kulingana na vifaa vyao shida hio kwa majirani isingetoa...,
 
Upo sahihi mkuu lakini huoni Kama nimekatwa elfu 4000?? Kodi ya jengo kwa sababu elfu tatu ilikataliwa elfu nne hivohivo elfu tano ndio nmekatwa 4000 Kodi ya jengo na 500 ya tanesco
Mbona naona unadeni la tanesco

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom