Hizo mita zimefungwa vipi kama sio kwenye jengo ?After all, wamejuaje unaishi ghorofani? kuna jamaa anadai kakatwa kodi ya jengo kwenye biashara yake ya welding na mwingine kwenye kufyatua matofali pasipo kuwa na jengo lolote...
tuna pita kwenye tanuru kali kama analopitia GAIDI Mbowe!Daah Hali Ni mbaya sio buku Tena asee
Umefurahi naona Hadi unasifia!Haki CCM inajua kuf!ra![emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Siku utakatwa na madeni usije hapa kulialia.Wadau nadhani upande wa Tigo mambo hajawakalia sawa na hawakati kodi ya jengo, so chagamkieni huko. Nimenunua umeme bila kukatwa chochote sasa hivi!View attachment 1901840
🖕🖕🖕Umefurahi naona Hadi unasifia!
Nyumbu hovyo kabisa.
Bahati mbaya anaupiga kuelekea golini kwake😀 😀 😀 Tumpe Muda, Mama anaupiga mwingi
Wewe unazugumzia kitu usichokijua kwani unafikikiri ukiomba umeme, TANESCO wanaweza tu kukuletea bila kuju unaufanyia kazi gani, nani kakuambia TANESCO wanakupandishia TAARIF ukiwaambia umeme natumia kwa shuguli fulani?Hizo mita zimefungwa vipi kama sio kwenye jengo ?
Anyway kuna wadau ambao wanaframe nadhani itabidi waende TRA ili mita nyingine zichomolewe kwenye mfumo wa Kodi na ibaki mita moja (ila ninavyoijua hii Serikali mpaka kuja kuchomoa hizo kwenye mfumo itachukua muda) anyway hauchelewi kwenda Tanesco kusema mimi biashara yangu ni welding wakakupandishia na Tariff kwamba una kiwanda...
Hii nchi ishakuwa ngumu....
Teh!!Tatizo sio tozo kwanini tuambiwe kuwe Kodi ya majengo ya kawaida 12,000Tsh nikatwe 4500, hii Ni sawa na elfu 54000 kwa mwak huoni kama Ni kinyume na walichotangaza?
Mama enu mdogo ameshasema eti hizi tozo mmezikubali na mnazipenda kweri-kweri.
Ukiomba umeme Tanesco wanajua unachofanya kabla ya kukupa mita ila hio haikuzuii kubadilisha matumizi katikati bila wao kujua au kubalisha.Wewe unazugumzia kitu usichokijua kwani unafikikiri ukiomba umeme, TANESCO wanaweza tu kukuletea bila kuju unaufanyia kazi gani, nani kakuambia TANESCO wanakupandishia TAARIF ukiwaambia umeme natumia kwa shuguli fulani?
Nadhani bado hujanunua Luku ya mwezi huuLeo siku ya tatu hapa JF malalamiko kibao na ya kila aina, WADAU kulikoni?
Au Tozo zimezua jambo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haki CCM inajua kuf!ra![emoji1782][emoji1782][emoji1782]
Enzi mwendazake hajatulia sawa kaburini ukipga kelele hizi nyumbu zinakuwakia balaa na kukutolea mapovu ya mama anaupiga mwingi😂😂😂😂😂yaan walitaman wamsajili awe rais wa chadema huko
Sina Deni mkuuTeh!!
Sio kuwa unalipa na deni la miaka mingine nyuma?
Hatunywi shumu ,hatujinyongiiiii,acha waisome nambaeeeee. ....mbele kwa mbeleeeeKile kiwimbo chetu nani anaweza kutukumbusha