Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #41
Tarehe moja February zimeanza kwa halmashauri moja ya jiji la DarHizo kodi za harusi na misiba zimeanza lini na wapi jamani? Halafu wamesahau graduation kuanzia chekechea, la Saba, fomfoo, fomsksi, stakishahada, shahada, pihechidi, zamivu, zawizi, zawivu, na kwa wingi wa shule, seminari, na vyuo mpaka vya kodi! Na vya polisi, geshi, magareza, mahakimu, manesi, wakunga, waganga wa kienyeji, wainjilisiti, mapadiri, arobaini, manyamapori, na kazalika! Mweh!