Hizo kodi za harusi na misiba zimeanza lini na wapi jamani? Halafu wamesahau graduation kuanzia chekechea, la Saba, fomfoo, fomsksi, stakishahada, shahada, pihechidi, zamivu, zawizi, zawivu, na kwa wingi wa shule, seminari, na vyuo mpaka vya kodi! Na vya polisi, geshi, magareza, mahakimu, manesi, wakunga, waganga wa kienyeji, wainjilisiti, mapadiri, arobaini, manyamapori, na kazalika! Mweh!