Kodi ya kuingiza bidhaa Tanzania ni asilimia ngapi?

Kodi ya kuingiza bidhaa Tanzania ni asilimia ngapi?

De marco

Member
Joined
Nov 23, 2017
Posts
46
Reaction score
106
Wakuu , nnaitaji kununua camera from eBay, sasa naulizia ikifika kwa njia ya posta.. Nackia kuna kulipia kodi,

Je, kwa makadirio kodi utakua kiasi gani, bei ya camera ni $300....laki sita naa..

Msaada jaman wataalam Mwalimu Rct na wengine...

THANKS
Screenshot_2018-04-21-16-10-19.png
 
Swali ni je, ataiona hiyo camera.. hahaha Tarrif si ya mchezo mchezo.. nadhani ni kuanzia chapta ya eight somthn..
 
Back
Top Bottom