Kodi ya laini za simu ya kila mwezi iletwe, itaisaidia sana Serikali yetu

Kodi ya laini za simu ya kila mwezi iletwe, itaisaidia sana Serikali yetu

We utakuwa mchepuko wa mwiguru
Ha ha ha,
Nashauri kariakoo iboreshwe kibiashara,, Lumumba Street mpaka mtaa wa ndanda, itengenezwe aina ya fence maalum nzuri sana (busines zone) ambayo itakuwa na entrance (maingilio rasmi) ili wanaoingia kariakoo wata declare cash zao hapo na kupewa card za kibenki, hivyo wakati wananunua bidhaa watanunua kwa ku swap madukani, maduka yote yasajiliwe na yapewe swap machine bure kabisa! Manunuzi humo ndani yasiruhusu mzunguko ya hard cash!,
N. B, kukimbizana kwa maswala ya kodi kutakwisha.
-Twendeni kwenye digital govt habari za kukimbizana kubambikiana kodi kuishe!
 
Hili linafanyika katika nchi nyingi huko ulimwenguni.

Serekali yetu tukufu tuwekeeni kodi kwenye kila laini ya simu shs 300/-kwa mwezi, iwe absorbed kila mwezi, ili tuboreshe uchumi wetu, lakini fedha mtakazozikata serekali yetu isizitumie kwa anasa bali iboreshe huduma za kimsingi hasa vijijini.
Kuna 200+bilion p/a.
---

Tanzania registered approximately 67.72 million mobile connections (excluding IoT) as of 2024, up from 50.8 million in the previous year. Overall, mobile connections corresponded to over 86 percent of the country's population.
Unataka kuwaongezea ulaji wazee wa urefu wa kamba zao
Hizo hela zitaenda kupigwa na kupotea mikononi mwa wajanja
 
Nikusaidie kidogo;
Namna moja ya kuchochea uchumi ni kupunguza kodi ili kipato cha watu kiongozeke; na hii husaidia wenye uwezo (Kipato kizuri) waimarike zaidi na hivyo kubuni miradi zaidi na kuajiri watu wengi na kukuza uiogo wa kodi.

Kodi zikiwa nyingi hata wale wenye uwezo hawakui (uchumi una simama) mtu/watu wanakuwa na mradi mmoja tu huo huo miaka kadhaa ina maana malipo ya kodi ni yale yale na hawezi kuajiri matokeo yake; kodi haiongezeki na wasio na ajira wanaongezeka...

Ukishaona mtu anawazia kutoza kodi inayowagusa hata wale wasioweza kupata milo miwili kwa siku; jua tu kuna kitu hakipo sawa kwenye uwezo wake wa kufikiri....
Kodi inasaidia maendeleo ILA isipo angaliwa vizuri inaua uchumi na kuacha Nchi ikijiendesha kwa kutegemea mikopo
👏 Umeeleza vyema sana
 
1719855726139.jpg
 
Ni kweli, lengo la hii kodi ni kusaidia serikali sio wananchi, ije tu.
 
Usimamiz wa makusanyo na wizi unaosemekana upo ndo inaleta shida,
Lakin 300,100 au200 per month ingepush sana sema Uongozi hatuna na waliopo wengi ni wachumia tumbo na sio wazalendo
Mkuu lengo langu ni kupunguza hata ikibidi watumishi wa TRA, twende kwenye digital, tukusanye katika very softication way as America and Europe did, kodi ikichukuliwa kwenye mass, haiumizi, pia itasaidia kuondosha kodi kichefuchefu za kijinga, itapunguza kukabana na tra, twendeni huko!
 
Msikieni na huyu mwanga
Ninyi ndiyo watu janja janja tunataka ulipe japo 300-500 kwa mwezi.
Kununua ndumu mnalipa kila ndumu 3-5 kwa siku, kulipa serekali mia 5,kwa mwezi unapiga kelele!
 
Ninyi ndiyo watu janja janja tunataka ulipe japo 300-500 kwa mwezi.
Kununua ndumu mnalipa kila ndumu 3-5 kwa siku, kulipa serekali mia 5,kwa mwezi unapiga kelele!
Mm nashauri hata hewa tuwe tunalipia mia tano kwa siku itasaidia sana kuongeza kasi ya maendeleo mass taxation ndo mpango mzina ....au unasemaje chawa a.k.a kunguni kiroboto wazee wa kupenda vya kunyonga.😎
 
Hili linafanyika katika nchi nyingi huko ulimwenguni.

Serikali yetu tukufu tuwekeeni kodi kwenye kila laini ya simu shs 300/-kwa mwezi, iwe absorbed kila mwezi, ili tuboreshe uchumi wetu, lakini fedha mtakazozikata serikali yetu isizitumie kwa anasa bali iboreshe huduma za kimsingi hasa vijijini. Kuna 200+bilion p/a.

===

Tanzania registered approximately 67.72 million mobile connections (excluding IoT) as of 2024, up from 50.8 million in the previous year. Overall, mobile connections corresponded to over 86 percent of the country's population.
Haya ndiyo madhara sasa ya kuwa na elimu ya kukariri! Ubunifu wa kutafuta vyanzo vipya na rafiki vya kodi hamna! Kila siku mnawaza tu kuongeza tozo kwenye Luku, mafuta, line za simu, huduma za kifedha, nk!

Hivi mnafahamu kweli kama hii nchi ina raslimali za kila aina? Ila kwa sababu ya huu udumavu wenu wa akili, mnaona ni sahihi wageni waendelee kuzimiliki! Halafu mnawawebebesha wananchi masikini mikodi ya kila aina, ili muendelee kuishi maisha yenu ya kifahari na kifisadi! Poor you.
 
Hiyo ndogo inabidi waweke na kodi ya Hewa tunayovuta yaani hapa sisi kama serikale ya Mama na ndugu madelu naona utekelezaji uanze haraka!
 
Back
Top Bottom