Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
- #41
Hili jambo ni wazo tu, na haliko kwenye utekelezaji, waweza toa wazo kwa serekali kama mtanzania, likionekana linafaa litachukuliwa!Umbwa sana tena wasengerema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jambo ni wazo tu, na haliko kwenye utekelezaji, waweza toa wazo kwa serekali kama mtanzania, likionekana linafaa litachukuliwa!Umbwa sana tena wasengerema
Wabanee matumizi ya serikali kwanza,Ma V8 yaninii watumie Harrier...posho,mishahara ya wabunge.yaani hizo mia 300 zinapatikana.Hili jambo ni wazo tu, na haliko kwenye utekelezaji, waweza toa wazo kwa serekali kama mtanzania, likionekana linafaa litachukuliwa!
Lituulitudumbua unataka na mengineyoHili linafanyika katika nchi nyingi huko ulimwenguni.
Serikali yetu tukufu tuwekeeni kodi kwenye kila laini ya simu shs 300/-kwa mwezi, iwe absorbed kila mwezi, ili tuboreshe uchumi wetu, lakini fedha mtakazozikata serikali yetu isizitumie kwa anasa bali iboreshe huduma za kimsingi hasa vijijini. Kuna 200+bilion p/a.
===
Tanzania registered approximately 67.72 million mobile connections (excluding IoT) as of 2024, up from 50.8 million in the previous year. Overall, mobile connections corresponded to over 86 percent of the country's population.
300 ndogo inatakiwa buku 5Hili linafanyika katika nchi nyingi huko ulimwenguni.
Serikali yetu tukufu tuwekeeni kodi kwenye kila laini ya simu shs 300/-kwa mwezi, iwe absorbed kila mwezi, ili tuboreshe uchumi wetu, lakini fedha mtakazozikata serikali yetu isizitumie kwa anasa bali iboreshe huduma za kimsingi hasa vijijini. Kuna 200+bilion p/a.
===
Tanzania registered approximately 67.72 million mobile connections (excluding IoT) as of 2024, up from 50.8 million in the previous year. Overall, mobile connections corresponded to over 86 percent of the country's population.
"unatoa mbwa bandani"Hili linafanyika katika nchi nyingi huko ulimwenguni.
Serikali yetu tukufu tuwekeeni kodi kwenye kila laini ya simu shs 300/-kwa mwezi, iwe absorbed kila mwezi, ili tuboreshe uchumi wetu, lakini fedha mtakazozikata serikali yetu isizitumie kwa anasa bali iboreshe huduma za kimsingi hasa vijijini. Kuna 200+bilion p/a.
===
Tanzania registered approximately 67.72 million mobile connections (excluding IoT) as of 2024, up from 50.8 million in the previous year. Overall, mobile connections corresponded to over 86 percent of the country's population.
Mkuu lengo langu ni kupunguza hata ikibidi watumishi wa TRA, twende kwenye digital, tukusanye katika very softication way as America and Europe did, kodi ikichukuliwa kwenye mass, haiumizi, pia itasaidia kuondosha kodi kichefuchefu za kijinga, itapunguza kukabana na tra, twendeni huko!
Ilo swala la digital tuanze na kura kwanza za kuchagua viongozi ndo tuje kwenye kodiMkuu lengo langu ni kupunguza hata ikibidi watumishi wa TRA, twende kwenye digital, tukusanye katika very softication way as America and Europe did, kodi ikichukuliwa kwenye mass, haiumizi, pia itasaidia kuondosha kodi kichefuchefu za kijinga, itapunguza kukabana na tra, twendeni huko!
Hili linafanyika katika nchi nyingi huko ulimwenguni.
Serikali yetu tukufu tuwekeeni kodi kwenye kila laini ya simu shs 300/-kwa mwezi, iwe absorbed kila mwezi, ili tuboreshe uchumi wetu, lakini fedha mtakazozikata serikali yetu isizitumie kwa anasa bali iboreshe huduma za kimsingi hasa vijijini. Kuna 200+bilion p/a.
===
Tanzania registered approximately 67.72 million mobile connections (excluding IoT) as of 2024, up from 50.8 million in the previous year. Overall, mobile connections corresponded to over 86 percent of the country's population.