Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
- Thread starter
-
- #21
Ha ha ha,We utakuwa mchepuko wa mwiguru
Omba hizo fedha zikatwe kwenye laini za ukoo wenu.Acha ujinga wewe
Unataka kuwaongezea ulaji wazee wa urefu wa kamba zaoHili linafanyika katika nchi nyingi huko ulimwenguni.
Serekali yetu tukufu tuwekeeni kodi kwenye kila laini ya simu shs 300/-kwa mwezi, iwe absorbed kila mwezi, ili tuboreshe uchumi wetu, lakini fedha mtakazozikata serekali yetu isizitumie kwa anasa bali iboreshe huduma za kimsingi hasa vijijini.
Kuna 200+bilion p/a.
---
Tanzania registered approximately 67.72 million mobile connections (excluding IoT) as of 2024, up from 50.8 million in the previous year. Overall, mobile connections corresponded to over 86 percent of the country's population.
π Umeeleza vyema sanaNikusaidie kidogo;
Namna moja ya kuchochea uchumi ni kupunguza kodi ili kipato cha watu kiongozeke; na hii husaidia wenye uwezo (Kipato kizuri) waimarike zaidi na hivyo kubuni miradi zaidi na kuajiri watu wengi na kukuza uiogo wa kodi.
Kodi zikiwa nyingi hata wale wenye uwezo hawakui (uchumi una simama) mtu/watu wanakuwa na mradi mmoja tu huo huo miaka kadhaa ina maana malipo ya kodi ni yale yale na hawezi kuajiri matokeo yake; kodi haiongezeki na wasio na ajira wanaongezeka...
Ukishaona mtu anawazia kutoza kodi inayowagusa hata wale wasioweza kupata milo miwili kwa siku; jua tu kuna kitu hakipo sawa kwenye uwezo wake wa kufikiri....
Kodi inasaidia maendeleo ILA isipo angaliwa vizuri inaua uchumi na kuacha Nchi ikijiendesha kwa kutegemea mikopo
Mkuu lengo langu ni kupunguza hata ikibidi watumishi wa TRA, twende kwenye digital, tukusanye katika very softication way as America and Europe did, kodi ikichukuliwa kwenye mass, haiumizi, pia itasaidia kuondosha kodi kichefuchefu za kijinga, itapunguza kukabana na tra, twendeni huko!Usimamiz wa makusanyo na wizi unaosemekana upo ndo inaleta shida,
Lakin 300,100 au200 per month ingepush sana sema Uongozi hatuna na waliopo wengi ni wachumia tumbo na sio wazalendo
Mbaya Sana si utani,na laana kwa Allah!Ushoga mbaya sana.
Ninyi ndiyo watu janja janja tunataka ulipe japo 300-500 kwa mwezi.Msikieni na huyu mwanga
Mm nashauri hata hewa tuwe tunalipia mia tano kwa siku itasaidia sana kuongeza kasi ya maendeleo mass taxation ndo mpango mzina ....au unasemaje chawa a.k.a kunguni kiroboto wazee wa kupenda vya kunyonga.πNinyi ndiyo watu janja janja tunataka ulipe japo 300-500 kwa mwezi.
Kununua ndumu mnalipa kila ndumu 3-5 kwa siku, kulipa serekali mia 5,kwa mwezi unapiga kelele!
Haya ndiyo madhara sasa ya kuwa na elimu ya kukariri! Ubunifu wa kutafuta vyanzo vipya na rafiki vya kodi hamna! Kila siku mnawaza tu kuongeza tozo kwenye Luku, mafuta, line za simu, huduma za kifedha, nk!Hili linafanyika katika nchi nyingi huko ulimwenguni.
Serikali yetu tukufu tuwekeeni kodi kwenye kila laini ya simu shs 300/-kwa mwezi, iwe absorbed kila mwezi, ili tuboreshe uchumi wetu, lakini fedha mtakazozikata serikali yetu isizitumie kwa anasa bali iboreshe huduma za kimsingi hasa vijijini. Kuna 200+bilion p/a.
===
Tanzania registered approximately 67.72 million mobile connections (excluding IoT) as of 2024, up from 50.8 million in the previous year. Overall, mobile connections corresponded to over 86 percent of the country's population.
Hahaha nimecoment hivi hivi nilikua sijaona comment Yako ngosha!Mm nashauri hata hewa tuwe tunalipia mia tano kwa siku itasaidia sana kuongeza kasi ya maendeleo mass taxation ndo mpango mzina ....au unasemaje chawa a.k.a kunguni kiroboto wazee wa kupenda vya kunyonga.π