- Thread starter
- #21
Duh!Tuendeleze mawazo ya Magufuri, nyumba isiyo ya ghorofa 10,000, ghorofa moja 50,000 n.k wazee wenye nyumba zisizo na wapangaji bure, nyumba za nyasi bure
mzee naona unajitetea,
Hata hivyo kodi ya majengo lazima itozwe kulingana na thamani ya nyumba na eneo ilipo.
nasisitiza kuwa makadirio yaliyo fanywa na maafisa ardhi kati ya mwaka 2017 sio sahihi hivyo tuna shauri makadirio yafanyike kwa kuzingatia uhalisia wa nyumba na maeneo zilipo.