balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Tafuta mnyonge na wewe muibieNa hii imekaajeee? Unit 28 mpaka unit 22
View attachment 3062571
Sio Serikali wala Tanesco waliosema Kuna Kodi Mpya Bali walisema wali effect makato ya madeni ya nyuma,Hilo ongezeko nyie mlilitoa wapi?Salaam, Shalom!!
Lile ongezeko la TSH 500 lililoletwa kinyemela miezi miwili iliyopita, imeondolewa kinyemela kimya kimya bila taarifa yoyote.
Ikumbukwe kuwa, ongezeko hili halikuletwa kupitia Utaratibu wowote kisheria, baada ya kelele na malalamiko mengi Toka Kwa wananchi, imeondolewa bila ufafanuzi wowote.
Hapa ndipo tulipofikia kama nchi, kundi au viongozi kadhaa kwenye Taasisi au wizara za Serikali kumbe wanaweza kuongeza Kodi yoyote watakavyo na wasihojiwe na yoyote bila hatua yoyote kuchukuliwa dhidi Yao.
Tunahitaji majibu sahihi.
Karibuni 🙏
Mpumbavu waziri wa fedha...aondoke mara moja, namueesabia mpaka 10Salaam, Shalom!!
Lile ongezeko la TSH 500 lililoletwa kinyemela miezi miwili iliyopita, imeondolewa kinyemela kimya kimya bila taarifa yoyote.
Ikumbukwe kuwa, ongezeko hili halikuletwa kupitia Utaratibu wowote kisheria, baada ya kelele na malalamiko mengi Toka Kwa wananchi, imeondolewa bila ufafanuzi wowote.
Hapa ndipo tulipofikia kama nchi, kundi au viongozi kadhaa kwenye Taasisi au wizara za Serikali kumbe wanaweza kuongeza Kodi yoyote watakavyo na wasihojiwe na yoyote bila hatua yoyote kuchukuliwa dhidi Yao.
Tunahitaji majibu sahihi.
Karibuni 🙏
Ufafanuzi huo si wa kweli, mimi mita yangu inazaidi ya miaka 15 na nililipishwa sh.2,000/=! Hivi sasa wamekata sh.1,500/= Hebu wasaidie kunipa ufafanuzi.Wabongo wazito kuelewa,Tanesco walishatolea maelekezo.Kipindi mfumo wa kodi za majengo unaingizwa kwenye manunuzi ya umeme,baadhi ya mita nyingi zilichelewa kuunganishwa toka mwaka mpya wa serikali,hivyo madeni yote kulipwa mwaka mpya wa serikali,Na si unavyodai kuwa imeondolewa kinyemela,.
Unataka ufafanuzi wakuletee ukiwa umekaa hapo ulipo? Hupajui ofisi ya TRA!Ufafanuzi huo si wa kweli, mimi mita yangu inazaidi ya miaka 15 na nililipishwa sh.2,000/=! Hivi sasa wamekata sh.1,500/= Hebu wasaidie kunipa ufafanuzi.
Huko Dawasa nako ni hivyohivyo, unalipa sh.15,000/= na inathibitishwa malipo yamepokelewa cha ajabu ile pesa inanyofolewa wanaita PrePaid Offset na deni linarudi kwako tena, niligundua baada ya kudai statementi, nikawaacha wanalaumiana wenyewe kwa wenyewe idara moja!
Yan hapo unit 6 hamnaaaaaa. Wizi ni kosa kisheria🤣🤣🤣Tafuta mnyonge na wewe muibie
Mnyoosho tu mkuuu yan watu walitoa maelezo meng ila hawakuzungumzia hlo badilikoHuu ni wizi mkubwa nimeuona na unakatiha tamaa!
Hizi mita walizotuletea ni kausha damu!!
Nimenunua juzi umeme wa 10,000 nimepata units 23. Ina maana wamekata 1,500/- ?Kuna kaaupuz sana mimi na nunua umeme wa 10k kwa unit 28 wasipokata 1500 wakikata napata unit 23 lkn sasa iv kwa 10k napata unit 19.5 hii inchi ngumu sanaa
Naona kiswahili changu kigumu, nimeandika "Hebu wasaidie", hii inamuhusu aliyeandika kuwa walitoa ufafanuzi na mimi nimeupinga kwa mfano nilioutoa unaonihusu, nasisitiza ufafanuzi ule si sahihi soma vizuri maelezo yangu utaelewa.Unataka ufafanuzi wakuletee ukiwa umekaa hapo ulipo? Hupajui ofisi ya TRA!
Yes hapo umekatwa 1500 wasingekata ungekula 28Nimenunua juzi umeme wa 10,000 nimepata units 23. Ina maana wamekata 1,500/-
Wanerudisha kimya kimya.Nimenunua juzi umeme wa 10,000 nimepata units 23. Ina maana wamekata 1,500/- ?
Tuombe msaada ofisi ya Mwabukusi watusaidie.Hakunaga fidia?
Ufafanuzi wa kijinga Ule. Kila mwezi tunamlipia, haziingii kichwani wote Nchi nzima tukatwe 500. Hilo deni Gani.Tanesco walitolea ufafanuzi hili
Huwa hawarejeshiKuna kubadilishiwa mita na kupoteza unit zako zilizobaki. Ahadi yao ni kurudishiwa unit kwa kutumiwa sms jambo ambalo halifanyiki.
Kama umeelewa ufafanuzi wa tanesco, uwe na uhakika kuwa nawe hujielewi!!Wabongo wazito kuelewa,Tanesco walishatolea maelekezo.Kipindi mfumo wa kodi za majengo unaingizwa kwenye manunuzi ya umeme,baadhi ya mita nyingi zilichelewa kuunganishwa toka mwaka mpya wa serikali,hivyo madeni yote kulipwa mwaka mpya wa serikali,Na si unavyodai kuwa imeondolewa kinyemela,.
Huo ufafanuzi wa Tanesco umekuja kabla ya makato au baada ya makato ya ongezeko la 2000 Toka 1500?Niko hapa napitia comments za mazombie mpaka nashangaa. Eti lililetwa kinyemela na kuondolewa kinyemela! Watanzania tuna mtindio wa ubongo! Hiki kitu kilielezwa kabisa na wakasema ni mwezi mmoja tu! Kizazi hiki cha malalamiko sijui kitaisha lini?
Hayo madeni ndo tsh 500? Shughulisha kichwa chako basi siyo kilakitu unachukua kama kilivyo.Wabongo wazito kuelewa,Tanesco walishatolea maelekezo.Kipindi mfumo wa kodi za majengo unaingizwa kwenye manunuzi ya umeme,baadhi ya mita nyingi zilichelewa kuunganishwa toka mwaka mpya wa serikali,hivyo madeni yote kulipwa mwaka mpya wa serikali,Na si unavyodai kuwa imeondolewa kinyemela,.