Kodi ya majengo kupitia luku iliyoletwa kinyemela, imeondolewa kinyemela!!

Kodi ya majengo kupitia luku iliyoletwa kinyemela, imeondolewa kinyemela!!

Salaam, Shalom!!

Lile ongezeko la TSH 500 lililoletwa kinyemela miezi miwili iliyopita, imeondolewa kinyemela kimya kimya bila taarifa yoyote.

Ikumbukwe kuwa, ongezeko hili halikuletwa kupitia Utaratibu wowote kisheria, baada ya kelele na malalamiko mengi Toka Kwa wananchi, imeondolewa bila ufafanuzi wowote.

Hapa ndipo tulipofikia kama nchi, kundi au viongozi kadhaa kwenye Taasisi au wizara za Serikali kumbe wanaweza kuongeza Kodi yoyote watakavyo na wasihojiwe na yoyote bila hatua yoyote kuchukuliwa dhidi Yao.

Tunahitaji majibu sahihi.

Karibuni 🙏
Sio Serikali wala Tanesco waliosema Kuna Kodi Mpya Bali walisema wali effect makato ya madeni ya nyuma,Hilo ongezeko nyie mlilitoa wapi?

Kama lingekuwa limepitishwa na Bunge makato yangeondolewa maana wa kulitoa hayupo Kwa sababu inakuwa finance Bill.
 
Salaam, Shalom!!

Lile ongezeko la TSH 500 lililoletwa kinyemela miezi miwili iliyopita, imeondolewa kinyemela kimya kimya bila taarifa yoyote.

Ikumbukwe kuwa, ongezeko hili halikuletwa kupitia Utaratibu wowote kisheria, baada ya kelele na malalamiko mengi Toka Kwa wananchi, imeondolewa bila ufafanuzi wowote.

Hapa ndipo tulipofikia kama nchi, kundi au viongozi kadhaa kwenye Taasisi au wizara za Serikali kumbe wanaweza kuongeza Kodi yoyote watakavyo na wasihojiwe na yoyote bila hatua yoyote kuchukuliwa dhidi Yao.

Tunahitaji majibu sahihi.

Karibuni 🙏
Mpumbavu waziri wa fedha...aondoke mara moja, namueesabia mpaka 10
 
Wabongo wazito kuelewa,Tanesco walishatolea maelekezo.Kipindi mfumo wa kodi za majengo unaingizwa kwenye manunuzi ya umeme,baadhi ya mita nyingi zilichelewa kuunganishwa toka mwaka mpya wa serikali,hivyo madeni yote kulipwa mwaka mpya wa serikali,Na si unavyodai kuwa imeondolewa kinyemela,.
Ufafanuzi huo si wa kweli, mimi mita yangu inazaidi ya miaka 15 na nililipishwa sh.2,000/=! Hivi sasa wamekata sh.1,500/= Hebu wasaidie kunipa ufafanuzi.
Huko Dawasa nako ni hivyohivyo, unalipa sh.15,000/= na inathibitishwa malipo yamepokelewa cha ajabu ile pesa inanyofolewa wanaita PrePaid Offset na deni linarudi kwako tena, niligundua baada ya kudai statementi, nikawaacha wanalaumiana wenyewe kwa wenyewe idara moja!
 
Ufafanuzi huo si wa kweli, mimi mita yangu inazaidi ya miaka 15 na nililipishwa sh.2,000/=! Hivi sasa wamekata sh.1,500/= Hebu wasaidie kunipa ufafanuzi.
Huko Dawasa nako ni hivyohivyo, unalipa sh.15,000/= na inathibitishwa malipo yamepokelewa cha ajabu ile pesa inanyofolewa wanaita PrePaid Offset na deni linarudi kwako tena, niligundua baada ya kudai statementi, nikawaacha wanalaumiana wenyewe kwa wenyewe idara moja!
Unataka ufafanuzi wakuletee ukiwa umekaa hapo ulipo? Hupajui ofisi ya TRA!
 
Unataka ufafanuzi wakuletee ukiwa umekaa hapo ulipo? Hupajui ofisi ya TRA!
Naona kiswahili changu kigumu, nimeandika "Hebu wasaidie", hii inamuhusu aliyeandika kuwa walitoa ufafanuzi na mimi nimeupinga kwa mfano nilioutoa unaonihusu, nasisitiza ufafanuzi ule si sahihi soma vizuri maelezo yangu utaelewa.
 
Wabongo wazito kuelewa,Tanesco walishatolea maelekezo.Kipindi mfumo wa kodi za majengo unaingizwa kwenye manunuzi ya umeme,baadhi ya mita nyingi zilichelewa kuunganishwa toka mwaka mpya wa serikali,hivyo madeni yote kulipwa mwaka mpya wa serikali,Na si unavyodai kuwa imeondolewa kinyemela,.
Kama umeelewa ufafanuzi wa tanesco, uwe na uhakika kuwa nawe hujielewi!!
 
Niko hapa napitia comments za mazombie mpaka nashangaa. Eti lililetwa kinyemela na kuondolewa kinyemela! Watanzania tuna mtindio wa ubongo! Hiki kitu kilielezwa kabisa na wakasema ni mwezi mmoja tu! Kizazi hiki cha malalamiko sijui kitaisha lini?
Huo ufafanuzi wa Tanesco umekuja kabla ya makato au baada ya makato ya ongezeko la 2000 Toka 1500?
 
Wabongo wazito kuelewa,Tanesco walishatolea maelekezo.Kipindi mfumo wa kodi za majengo unaingizwa kwenye manunuzi ya umeme,baadhi ya mita nyingi zilichelewa kuunganishwa toka mwaka mpya wa serikali,hivyo madeni yote kulipwa mwaka mpya wa serikali,Na si unavyodai kuwa imeondolewa kinyemela,.
Hayo madeni ndo tsh 500? Shughulisha kichwa chako basi siyo kilakitu unachukua kama kilivyo.
 
Back
Top Bottom