Kodi ya Majengo ni shimo lingine kwa Rais Samia

Kodi ya Majengo ni shimo lingine kwa Rais Samia

Msomi Livelu

Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
24
Reaction score
30
Nawasalimu ndugu zangu wapena maendeleo.

Hivi karibuni serikali imeamua kurudisha kodi ya MAJENGO kwa halmashauri kwa kigezo cha kuziongezea halmashauri mapato. Ila kwangu mimi Kodi kurudisha Kodi hii halmashauri wakusanyaji wakiwa watendaji wa vijiji italeta vita kubwa sana kwa wananchi wa vijijini na Rais wao Samia, maana kodi hii Sasa italipwa direct na sio kama mwanzo ambapo ilikuwa inalpwa kupitia luku, kupitia luku watu wengi wamelipa bila kutambua na hivyo kuondoa malalamiko, pili kupitia luku imefanya Kodi hii iwahusu watu wenye kipato cha kati na juu na sio cha chini kama itakavokuwa kuwa kupitia watendaji wa vijiji.

Mimi najiuliza waziri aliepanga hili ana agenda gani kwa muheshimiwa raisi, hasa ukizingatia mwakani ni uchaguzi mkuu na waziri anajua fika kabisa watendaji watawafuat wananchi nyumba kwa nyumba kukusanya kodi.

Na vipi Rais akubli mtego huu utakao mpa wakati mgumu kutetea kiti chake kwa kuwapa wapinzani wake agenda zitakazoeleweka kwa wapiga kura?

Mimi namshauri muheshimiwa raisi labda Kodi ya mabango ndio irudi kwa halmashauri. Ila Kodi ya nyumba ni bomu kwako, acha iendelee kwa muundo uliopo hivi Sasa, huyo waziri Hana nia njema na wewe.
 
Kodi ya jengo kivipi?
Kodi ya nyumba kwa maneno mengine. Mwanzo ilikuwa inakatwa unaponunua umeme. Ila kwa kuwa imerudi halmashauri watendaji wa vijiji ndio watakao kusanya na tayari wameshaanza mafunzo.
 
Nawasalimu ndugu zangu wapena maendeleo.

Hivi karibuni serikali imeamua kurudisha kodi ya MAJENGO kwa halmashauri kwa kigezo cha kuziongezea halmashauri mapato. Ila kwangu mimi Kodi kurudisha Kodi hii halmashauri wakusanyaji wakiwa watendaji wa vijiji italeta vita kubwa sana kwa wananchi wa vijijini na Rais wao Samia, maana kodi hii Sasa italipwa direct na sio kama mwanzo ambapo ilikuwa inalpwa kupitia luku, kupitia luku watu wengi wamelipa bila kutambua na hivyo kuondoa malalamiko, pili kupitia luku imefanya Kodi hii iwahusu watu wenye kipato cha kati na juu na sio cha chini kama itakavokuwa kuwa kupitia watendaji wa vijiji.

Mimi najiuliza waziri aliepanga hili ana agenda gani kwa muheshimiwa raisi, hasa ukizingatia mwakani ni uchaguzi mkuu na waziri anajua fika kabisa watendaji watawafuat wananchi nyumba kwa nyumba kukusanya kodi.

Na vipi Rais akubli mtego huu utakao mpa wakati mgumu kutetea kiti chake kwa kuwapa wapinzani wake agenda zitakazoeleweka kwa wapiga kura?

Mimi namshauri muheshimiwa raisi labda Kodi ya mabango ndio irudi kwa halmashauri. Ila Kodi ya nyumba ni bomu kwako, acha iendelee kwa muundo uliopo hivi Sasa, huyo waziri Hana nia njema na wewe.
Shimo lipi? Kwa aina ipi ya watu? hawa hawa wajinga wa hili Taifa?
 
Na ndicho nilichoeleza mimi
Hiyo ya jengo ni kwenye simu ndio, Ila mtendaji was Kijiji ndie atakae kuja kuchukua taarifa za mwenye jengo na kutuma halmashauri, halmashauri itaandaa control number na kumpatia mtendaji ili akampatie mwenye jengo ili aweze kulipia.
 
Kodi watakata na ushindi watapata simple tu kwa sababu anawaongoza hawana tofauti na jamaa zake Aden Rage wale.
 
Kwahiyo tutakatwa live na kwenye umeme?? Ni mwendo wa kukatwa tu nchi hii
 
Nawasalimu ndugu zangu wapena maendeleo.

Hivi karibuni serikali imeamua kurudisha kodi ya MAJENGO kwa halmashauri kwa kigezo cha kuziongezea halmashauri mapato. Ila kwangu mimi Kodi kurudisha Kodi hii halmashauri wakusanyaji wakiwa watendaji wa vijiji italeta vita kubwa sana kwa wananchi wa vijijini na Rais wao Samia, maana kodi hii Sasa italipwa direct na sio kama mwanzo ambapo ilikuwa inalpwa kupitia luku, kupitia luku watu wengi wamelipa bila kutambua na hivyo kuondoa malalamiko, pili kupitia luku imefanya Kodi hii iwahusu watu wenye kipato cha kati na juu na sio cha chini kama itakavokuwa kuwa kupitia watendaji wa vijiji.

Mimi najiuliza waziri aliepanga hili ana agenda gani kwa muheshimiwa raisi, hasa ukizingatia mwakani ni uchaguzi mkuu na waziri anajua fika kabisa watendaji watawafuat wananchi nyumba kwa nyumba kukusanya kodi.

Na vipi Rais akubli mtego huu utakao mpa wakati mgumu kutetea kiti chake kwa kuwapa wapinzani wake agenda zitakazoeleweka kwa wapiga kura?

Mimi namshauri muheshimiwa raisi labda Kodi ya mabango ndio irudi kwa halmashauri. Ila Kodi ya nyumba ni bomu kwako, acha iendelee kwa muundo uliopo hivi Sasa, huyo waziri Hana nia njema na wewe.
Haya ni makosa makubwa sana. Mimi binafsi nina nyumba 2 za ghorofa na nazimiliki tangu mwaka 2007 na nyingine 2014. Nilikuwa sijawahi kulipa kodi ya majengo hadi mwaka 2023/4 LUKU ilipoanza kukusanya na uwezo ninao wa kulipa.

Hapa nafurahia tu kuwa sintolipa tena.
 
Back
Top Bottom