dump
JF-Expert Member
- Mar 23, 2020
- 642
- 958
Watu wakidai katiba mpya kuna wengine wana pingaSidhani kama wana dhamira hiyo maana hata kwenye vifurushi vya muda wa maongezi na data wamechemka kurejesha nyuma kama ilivyokuwa kabla....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wakidai katiba mpya kuna wengine wana pingaSidhani kama wana dhamira hiyo maana hata kwenye vifurushi vya muda wa maongezi na data wamechemka kurejesha nyuma kama ilivyokuwa kabla....
Hata wao mawaziri mishahara yao inakatwa kulingana ilivyo, hata we we umekatwa sehemu ndogoogoo kabisaaa. Tujibane ndugu zanguni maendeleo yanagarama zakee. Tutoe kodii tujenge nchi yetuuuuu.Nami naunga mkono hili la kulipa kodi lkn ili liwe na uzito na lipokelewe vizuri na Wananchi, nashauri viongozi wetu watumie busara ndogo tu, waonyeshe uzalendo kwa vitendo...
Kodi IPI iliyohamishiwa kwenye bidhaaa?? Mbona ulaya KODI ya kichwa bado inaendelea kwani wao hawanunui bidhaaa? Au wakati uli tulipokua tunatoa KODI ya kichwa, kwani bidhaaa tulikua hatununui?Hakuna mtanzania ambaye halipi kodi, unaweza kumtaja hapa km yupo.
Tangu Benjamin afute Kodi ya kichwa (direct tax) Kodi ile ilihamishiwa kwenye bidhaa na huduma.
Bidhaa na huduma zinanunuliwa tangu enzi na popote pale duniani. Kwa Tanzania, wakati wa kodi ya kichwa, bidhaa/huduma hazikuwa zikilipiwa kodi na mlaji,, mlipaji alikuwa mfanyabiashara au mtoa hudumaKodi IPI iliyohamishiwa kwenye bidhaaa?? Mbona ulaya KODI ya kichwa bado inaendelea kwani wao hawanunui bidhaaa???. Au wakati uli tulipokua tunatoa KODI ya kichwa, kwani bidhaaa tulikua hatununui??
Kwenye sanduku la kuraHii nchi sjui hua inapata wapi viongozi wake
Tulipe kodiiiiBidhaa na huduma zinanunuliwa tangu enzi na popote pale duniani. Kwa Tanzania, wakati wa kodi ya kichwa, bidhaa/huduma hazikuwa zikilipiwa kodi na mlaji,, mlipaji alikuwa mfanyabiashara au mtoa huduma
Baada ya kufuta ile kodi, ikahamishiwa kwenye huduma/bidhaa kwa mlaji wa mwisho. Kama unaweza kurejea habari za kodi za 2000's, utajua hili.
Mwananchi alianza kulipa indirect tax kupitia kila bidhaa/huduma anayoilipia. Ile Kodi ilienda inapanda hadi hiv sasa imefika 18% na ndio hii VAT
Sasa, mwananchi analipa VAT kwa kila muamala, na hana sehemu ya kuikwepa, then anaambiwa aongeze certain amount kwa muamala huohuo... Inafikirisha, inaghadhabisha sana.
Nasimama kukosolewa!
Habari JF members,
Naomba turejee kauli ya Rais wetu Samia alipokuwa anazungumza na wahariri wa vyombo vya habari alipoulizwa kuhusu katiba mpya na siasa za majukwaa. Simple tu alijibu dhamira yake kubwa ni kuifungua nchi kiuchumi japo katiba ni muhimu pia.
Lakini kwa hali ilivyo inaonekana kwa namna fulani dhamira hii yaweza kuyeyuka kutokana na kuwepo kwa baadhi ya kodi na tozo zilizoletwa na serikali yake kupitia bajeti ya serikali iliyosomwa hivi karibuni bungeni.
Kwa kuwa mheshimiwa Rais alikubali kukosolewa na kushauriwa serikali yake, naomba pia kupitia jukwaa hili (ambalo naamini na yeye yumo) tumshauri katika kodi/tozo hizi labda atapokea ushauri wetu na kuufanyia kazi.
1. Kodi kwenye miamala ya simu
2. Kodi kwenye mafuta
Kwa kuanza mimi nashauri hii kodi ya kwenye miamala ya simu ifutwe ama ikishindikana kabisa basi ipunguzwe maana itaongeza umaskini na kupunguza ajira za watu waliojiajiri katika utoaji wa huduma ya mobile money.
Kwa huu ushoga katiba mpya ni lazima nilikuwa sioni maana sababu maslahi yangu hayakuguswa ila kwa sasa tuko pamoja katiba mpya lazma iandikwe na wale kenge mjengoni pale wasilipwe zaidi ya million 3. Maana vingine vyote wanabebwa!Watu wakidai katiba mpya kuna wengine wana pinga
HahahahahhahKwenye sanduku la kura
Sisi wenyewe ndio tunawapa jeuri hiyo
Wacha watuf**** tu
Siku akili zikitusogea, tutawaondoa
Kwenye bajeti ijayo serikali iongeze makatoWe mxenge nini
Wacha waendelee kushupaza shingo, ikiwa watumishi wa kawaida na digirii zao wanaweza kuishi kwa sh. 700,000/= -1,500,000/= kuna sababu gani ya kumlipa zaidi milion 10 mwanasiasa ambaye sifa yake ni kujua kusoma na na kuandika? Kwa umuhimu upi kwenye Taifa hili? Kusinzia bungeni na kukurupuka unapiga makofi ndiyo umuhimu wake?Hata wao mawaziri mishahara yao inakatwa kulingana ilivyo, hata we we umekatwa sehemu ndogoogoo kabisaaa. Tujibane ndugu zanguni maendeleo yanagarama zakee. Tutoe kodii tujenge nchi yetuuuuu.