Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Kwa mishahara yao hiyo hiyo ya watumishi KODI imezingatiwa. Lips KODI tujenge taifa letuuu. Misaada haina tija kwa maendeleo yetu.Wacha waendelee kushupaza shingo, ikiwa watumishi wa kawaida na digirii zao wanaweza kuishi kwa sh. 700,000/= -1,500,000/= kuna sababu gani ya kumlipa zaidi milion 10 mwanasiasa ambaye sifa yake ni kujua kusoma na na kuandika? Kwa umuhimu upi kwenye Taifa hili? Kusinzia bungeni na kukurupuka unapiga makofi ndiyo umuhimu wake?