Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
Kwa mishahara yao hiyo hiyo ya watumishi KODI imezingatiwa. Lips KODI tujenge taifa letuuu. Misaada haina tija kwa maendeleo yetu.Wacha waendelee kushupaza shingo, ikiwa watumishi wa kawaida na digirii zao wanaweza kuishi kwa sh. 700,000/= -1,500,000/= kuna sababu gani ya kumlipa zaidi milion 10 mwanasiasa ambaye sifa yake ni kujua kusoma na na kuandika? Kwa umuhimu upi kwenye Taifa hili? Kusinzia bungeni na kukurupuka unapiga makofi ndiyo umuhimu wake?
Hata usipowachagua watakutawala tuu hawa ni wakoloni weusi.Wao miamala yao wanafanyia bank, na ndio maana hawajaweka tozo huko.
Jiulize kwan bank ile sio miamala? Kwann kusiwekwe tozo na huko ili tulipe sote?
Wakati mwingine napenda tukamuliwe zaid ya hapa ili akili zitusogee tusiende kuchagua viongozi kwa kufuata nyimbo na fulana
Serikali imefilisika imeamua kuwapora watu wake.Dunia mzima Hakuna tozo kama hiziKwa mishahara yao hiyo hiyo ya watumishi KODI imezingatiwa. Lips KODI tujenge taifa letuuu. Misaada haina tija kwa maendeleo yetu.
Ni kufunga biashara zote za maduka ya mitandao ya simu tuone kama watapata hizo pesaHabari JF members,
Naomba turejee kauli ya Rais wetu Samia alipokuwa anazungumza na wahariri wa vyombo vya habari alipoulizwa kuhusu katiba mpya na siasa za majukwaa. Simple tu alijibu dhamira yake kubwa ni kuifungua nchi kiuchumi japo katiba ni muhimu pia.
Lakini kwa hali ilivyo inaonekana kwa namna fulani dhamira hii yaweza kuyeyuka kutokana na kuwepo kwa baadhi ya kodi na tozo zilizoletwa na serikali yake kupitia bajeti ya serikali iliyosomwa hivi karibuni bungeni.
Kwa kuwa mheshimiwa Rais alikubali kukosolewa na kushauriwa serikali yake, naomba pia kupitia jukwaa hili (ambalo naamini na yeye yumo) tumshauri katika kodi/tozo hizi labda atapokea ushauri wetu na kuufanyia kazi.
1. Kodi kwenye miamala ya simu
2. Kodi kwenye mafuta
Kwa kuanza mimi nashauri hii kodi ya kwenye miamala ya simu ifutwe ama ikishindikana kabisa basi ipunguzwe maana itaongeza umaskini na kupunguza ajira za watu waliojiajiri katika utoaji wa huduma ya mobile money.
Serikali ni mm na we we . tulipe KODI kwa maendeleo yetu. Hata kwa mabeberu wenu nako maendeleo yao wamejiletea wao wenyewe kwa KODI zao. Lipa KODISerikali imefilisika imeamua kuwapora watu wake.Dunia mzima Hakuna tozo kama hizi
Mbona harusi tunachangia kwa hiari tunadhindwa nini kuchangia maendeleo.Tutazoea tu, tutakuja kuona kawaida...