Kodi ya miamala ya simu ifutwe ama ipunguzwe; itaongeza umaskini na kupunguza ajira

Kwa mishahara yao hiyo hiyo ya watumishi KODI imezingatiwa. Lips KODI tujenge taifa letuuu. Misaada haina tija kwa maendeleo yetu.
 
Hata usipowachagua watakutawala tuu hawa ni wakoloni weusi.
 
Kwa mishahara yao hiyo hiyo ya watumishi KODI imezingatiwa. Lips KODI tujenge taifa letuuu. Misaada haina tija kwa maendeleo yetu.
Serikali imefilisika imeamua kuwapora watu wake.Dunia mzima Hakuna tozo kama hizi
 
Nimeshaongea sana kuwa wanaoturudisha nyuma nchi hii ni wabunge. Hiki cheo hakina maana zaidi ya kutuletea matabaka.

Bunge lisiwepo. Hata hao wanaopigania Katiba mpya, hawajabeba ajenda ya kitaifa zaidi ya kutafuta upenyo wa kwenda bungeni kuendelea kuwanyonya watanzania.

Tunaweza kuendelea kuwa na mabaraza ya madiwani yanatosha kabisa. Pia kukawa na Baraza kuu la madiwani lenye uwakilishi wa madiwani wawili au watatu kila mkoa kwa ajili ya kuishauri serikali na kutunga sheria.

Wabunge ndio maadui wa maendeleo ya Tanzania. Tuanze kupunguza hizi takataka ndio tuhimize Katiba mpya
 
Ni kufunga biashara zote za maduka ya mitandao ya simu tuone kama watapata hizo pesa
 
Serikali imefilisika imeamua kuwapora watu wake.Dunia mzima Hakuna tozo kama hizi
Serikali ni mm na we we . tulipe KODI kwa maendeleo yetu. Hata kwa mabeberu wenu nako maendeleo yao wamejiletea wao wenyewe kwa KODI zao. Lipa KODI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…