Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #21
Lugha ya kodi uliyokuwa unaikwepa, kodi kwa kila mtanzania.Nimeshindwa kusoma ulichokiandika. Hivi umeandika lugha gani hasa?
Lugha usiyoipenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha ya kodi uliyokuwa unaikwepa, kodi kwa kila mtanzania.Nimeshindwa kusoma ulichokiandika. Hivi umeandika lugha gani hasa?
bado unanishangaza na lugha yako.Lugha ya kodi uliyokuwa unaikwepa, kodi kwa kila mtanzania.
Lugha usiyoipenda.
ni mpuuzi sanaMjinga sana wewe
try to extrapolate your thinking.
Sasa niambie hiyo TOZO inaenda kutumbukizwa baharini?
THINK MAN, THINK!
Nyie msio wapuuzi mnapenda vya bwerere.Wewe
ni mpuuzi sana
Wansolalamika sana ni wale waliokuwa wanashangilia wafanyabiashara wakinyolewa kwa chupa na mwendazake.bado unanishangaza na lugha yako.
Na watanzania wengi watakosa ajiraMkuu, watu hawalalamikii hizo tozo au kpdi, wanalalamikia kiwango kilichowekwa. kiwango ni kikubwa kuliko hata makato yanayofanywa na mtoa huduma. Tatizo ndio liko hapo. Hakuna aliyekataa kuilipa hiyo tozo/kodi - ila kiwango ndio tatizo. Wangeweza kuweka hata 50% tu ya makato ya mtoa huduma, kuwa ndio tozo/kodi ya serikali. Otherwise hizo MPESA/TIGO PESA na AIRTEL MONEY zitakufa natural death.
Malamiki ya kodi ya simu yamekuwa mengi utafikiri jukumu la kidi ni la watu fulani tu.
Wakati jumuantifauti za wafanyabiashara zinalia na RA wengine waliuwa wala hawaoni keri hiyo.
Sasa kodi nibkwa kila mzalendo, watu wanalalamika.
Wengine wanapanga biashara barabarani na hawslipi kodi hata senti tano!
Hizo tozo za simu zimekaa mahali pake kabisaaa!
Mh Zungu alilielezea kwa ufasaha bungeni.
View attachment 1855550
Yule jamaa alikuwa baba wa uongoTuliambiwa nchi yetu ni tajiri kumbe ni utopolo tu
Malamiki ya kodi ya simu yamekuwa mengi utafikiri jukumu la kidi ni la watu fulani tu.
Wakati jumuantifauti za wafanyabiashara zinalia na RA wengine waliuwa wala hawaoni keri hiyo.
Sasa kodi nibkwa kila mzalendo, watu wanalalamika.
Wengine wanapanga biashara barabarani na hawslipi kodi hata senti tano!
Hizo tozo za simu zimekaa mahali pake kabisaaa!
Mh Zungu alilielezea kwa ufasaha bungeni.
View attachment 1855550
Nimeshindwa kusoma ulichokiandika. Hivi umeandika lugha gani hasa?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]napenda tu unavyousimamia uzi wako kama Ng'olo Kante!Lugha ya kodi uliyokuwa unaikwepa, kodi kwa kila mtanzania.
Lugha usiyoipenda.
Hatimaye nawe umeanza kuteseka. Term hii mtatusaidia hata kudai katiba mpya[emoji3]Duuh,
Unatetea ujinga mkuu,
Usiwe mjinga kiasi hicho.
Dona kantriTuliambiwa nchi yetu ni tajiri kumbe ni utopolo tu
Kimsingi bunge letu halipaswi kujadili kodi utajadilije kodi wakati wewe haikuhusu yaani hulipi kodi na mapato yako ni makubwa na yanatokana na kodi hizohizo unapata wapi ujasili wa kuhimiza watu walipe kodi wakati wewe umetunga sheria usilipe kodi? AIBU.Malamiki ya kodi ya simu yamekuwa mengi utafikiri jukumu la kidi ni la watu fulani tu.
Wakati jumuantifauti za wafanyabiashara zinalia na RA wengine waliuwa wala hawaoni keri hiyo.
Sasa kodi nibkwa kila mzalendo, watu wanalalamika.
Wengine wanapanga biashara barabarani na hawslipi kodi hata senti tano!
Hizo tozo za simu zimekaa mahali pake kabisaaa!
Mh Zungu alilielezea kwa ufasaha bungeni.
View attachment 1855550
Hebu tupe fununu wewe mwerevu!Duuh,
Unatetea ujinga mkuu,
Usiwe mjinga kiasi hicho.
Mwendazake aliitumia TRA Tas Forces kunyang'anya pesa wawekezaji na wafanyabiashara mchana kweupe.Kodi inayofundishwa Vyuoni siyo hii tunayoiona Leo.
Unatoza kodi unapoingiza kitu kwenye biashara au income tax. Siyo pesa ya Mtoto kumpa Mama.
VAT inatozwa kwenye Faida ya pesa anayopata Vodacom baaa ya kutukata huduma yake ya kufanya muamala.
Hii Tozo tunakatwa kwa ajili ipi?.. Hii siyo kodi sababu itakuwa INVALID hata Mahakama inaweza kuExpunge.
Ukiona unacheka wakati waliokuzunguka wanalia kuwa wewe ni mchawi. Ona aibu basi!Malamiki ya kodi ya simu yamekuwa mengi utafikiri jukumu la kidi ni la watu fulani tu.
Wakati jumuantifauti za wafanyabiashara zinalia na RA wengine waliuwa wala hawaoni keri hiyo.
Sasa kodi nibkwa kila mzalendo, watu wanalalamika.
Wengine wanapanga biashara barabarani na hawslipi kodi hata senti tano!
Hizo tozo za simu zimekaa mahali pake kabisaaa!
Mh Zungu alilielezea kwa ufasaha bungeni.
View attachment 1855550
Wakati tunalia TRA Task Force kutunyanyasa , wachawi mliocheka ilikuwa ninyi.Ukiona unacheka wakati waliokuzunguka wanalia kuwa wewe ni mchawi. Ona aibu basi!