Kodi ya simu ni sawa. Kodi ni jukumu la kila Mtanzania

Kodi ya simu ni sawa. Kodi ni jukumu la kila Mtanzania

Malamiki ya kodi ya simu yamekuwa mengi utafikiri jukumu la kidi ni la watu fulani tu.

Wakati jumuantifauti za wafanyabiashara zinalia na RA wengine waliuwa wala hawaoni keri hiyo.

Sasa kodi nibkwa kila mzalendo, watu wanalalamika.

Wengine wanapanga biashara barabarani na hawslipi kodi hata senti tano!

Hizo tozo za simu zimekaa mahali pake kabisaaa!

Mh Zungu alilielezea kwa ufasaha bungeni.

View attachment 1855550

Jidu La Mabambasi Jumbe Brown Mzee Kigogo kuna ujumbe wenu mujarab huku:


Msiache kutufikishia salamu zetu kwao Daktari Mwigulu Nchemba na Mheshimiwa Zungu wanaofaudu mapato bila kodi.

😂😂😂😂!

Hiiiiii bagosha!
 
Jidu La Mabambasi Jumbe Brown Mzee Kigogo kuna ujumbe wenu mujarab huku:


Msiache kutufikishia salamu zetu kwao Daktari Mwigulu Nchemba na Mheshimiwa Zungu wanaofaudu mapato bila kodi.

😂😂😂😂!

Hiiiiii bagosha!
Tunaletewa feni, joto lile lile!
 
Jidu La Mabambasi Jumbe Brown Mzee Kigogo kuna ujumbe wenu mujarab huku:


Msiache kutufikishia salamu zetu kwao Daktari Mwigulu Nchemba na Mheshimiwa Zungu wanaofaudu mapato bila kodi.

😂😂😂😂!

Hiiiiii bagosha!
Komredi Brazaj ha ha ha 🤣
 
Komredi Brazaj ha ha ha 🤣

Kumwunga mkono mama hakuna maana ya kufanya hivyo blindly. Kuna ujumbe wako huku pia:

 
ED

EDIT EDIT EDIT,ho

Hoja yako mkuu ni ya kizalendo,hata mimi pamoja na kua sikubaliani na viwango vikubwa vilivyotolewa na lakini kwa lengo la kusaidia maendeleo ya miradi, siyo vibaya sisi kama watanzania kuchangia hata kwa shilingi 100 na sio watanzania wote watachanga hiyo, ni kwa wale wanaotumia simu kufanya miamala.Ethiopia wanajenga bwawa kubwa la umeme hawajakopa kilichofanyika ni wananchi wamechangia inaweza kua wengi hawakupenda lakini mwisho linawasaidia wote.angalau serikali ifikirie namna ya kupunguza viwango viwe vidogo na mchango huo asiachiwe mwanachi na mitandao nayo ichangia kwenye tozo zao maana tukiichia fedha mitandao wanapata fedha nyingi na kupeleka kwao SA.Vietnam,India huko lakini hawachahingia uimarishwa wa miuondo mbinu inayowsaidia kupata fedha.Hawana hata majengo yao kama ilivyo kwa safaricom kenya japo nayo ni kampuni ya kigeni.
Na matokeo ya uzalendo wa Wananchi wa Ethiopia tunayona, kila siku wao kukamatwa wakikimbia nchi yao na kufia kwny malori huku Tz.

Huo ndio uzalendo.
 
Kodi ni lzm iwe inayolipika,pili ni lzm iendane na kipato halisi cha walipa kodi,tatu kodi ikiwa kubwa uchochea ukwepaji wake.nne kodi ikiwa kubwa utakusanya kidogo.
 
Matumizi ya hovyo ya kodi zetu yanafahamika si ajabu kukuta zimetafunwa na hakuna jitihada yeyeto ya kuwachukulia hatua wahusika zaidi kuhamishwa wizara tu,bali wanapokea elf 5 ndo ufukuzwa kazi
 
Malamiki ya kodi ya simu yamekuwa mengi utafikiri jukumu la kidi ni la watu fulani tu.

Wakati jumuantifauti za wafanyabiashara zinalia na RA wengine waliuwa wala hawaoni keri hiyo.

Sasa kodi nibkwa kila mzalendo, watu wanalalamika.

Wengine wanapanga biashara barabarani na hawslipi kodi hata senti tano!

Hizo tozo za simu zimekaa mahali pake kabisaaa!

Mh Zungu alilielezea kwa ufasaha bungeni.

View attachment 1855550

Naunga mkonp hoja. Tusipolipa kodi tutapataje maendeleo? Lakini pia wafanya kazi wa umma waache kuchezea kodi zetu kwa mambo yasiyo na tija na yasiyosaidia waannchi kupata maendeleo.
Hizi kelele yupige tukigundua kama wametuibia hela za kodi au wametumia hela za kodi vibaya
 
Malamiki ya kodi ya simu yamekuwa mengi utafikiri jukumu la kidi ni la watu fulani tu.

Wakati jumuantifauti za wafanyabiashara zinalia na RA wengine waliuwa wala hawaoni keri hiyo.

Sasa kodi nibkwa kila mzalendo, watu wanalalamika.

Wengine wanapanga biashara barabarani na hawslipi kodi hata senti tano!

Hizo tozo za simu zimekaa mahali pake kabisaaa!

Mh Zungu alilielezea kwa ufasaha bungeni.

View attachment 1855550
Umeandika kiyunani au kikorea![emoji849][emoji849][emoji849][emoji125][emoji125][emoji125]
 
11FDC8E9-9EB4-41C8-8BF7-DF6C69339B00.jpeg


296CD0C8-93BF-484D-9495-2C4FCA387E82.jpeg
 
Back
Top Bottom