Kodi ya simu ni sawa. Kodi ni jukumu la kila Mtanzania


Jidu La Mabambasi Jumbe Brown Mzee Kigogo kuna ujumbe wenu mujarab huku:


Msiache kutufikishia salamu zetu kwao Daktari Mwigulu Nchemba na Mheshimiwa Zungu wanaofaudu mapato bila kodi.

😂😂😂😂!

Hiiiiii bagosha!
 
Tunaletewa feni, joto lile lile!
 
Komredi Brazaj ha ha ha 🤣
 
Komredi Brazaj ha ha ha 🤣

Kumwunga mkono mama hakuna maana ya kufanya hivyo blindly. Kuna ujumbe wako huku pia:

 
Na matokeo ya uzalendo wa Wananchi wa Ethiopia tunayona, kila siku wao kukamatwa wakikimbia nchi yao na kufia kwny malori huku Tz.

Huo ndio uzalendo.
 
Kodi ni lzm iwe inayolipika,pili ni lzm iendane na kipato halisi cha walipa kodi,tatu kodi ikiwa kubwa uchochea ukwepaji wake.nne kodi ikiwa kubwa utakusanya kidogo.
 
Matumizi ya hovyo ya kodi zetu yanafahamika si ajabu kukuta zimetafunwa na hakuna jitihada yeyeto ya kuwachukulia hatua wahusika zaidi kuhamishwa wizara tu,bali wanapokea elf 5 ndo ufukuzwa kazi
 

Naunga mkonp hoja. Tusipolipa kodi tutapataje maendeleo? Lakini pia wafanya kazi wa umma waache kuchezea kodi zetu kwa mambo yasiyo na tija na yasiyosaidia waannchi kupata maendeleo.
Hizi kelele yupige tukigundua kama wametuibia hela za kodi au wametumia hela za kodi vibaya
 
Umeandika kiyunani au kikorea![emoji849][emoji849][emoji849][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…