Kodi ya VAT ifumuliwe. It's a complex sales tax iliyojaa ujanja mwingi na upigaji. Itozwe kwenye source pekee as a sales tax na kusiwe na tax returns

Kodi ya VAT ifumuliwe. It's a complex sales tax iliyojaa ujanja mwingi na upigaji. Itozwe kwenye source pekee as a sales tax na kusiwe na tax returns

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,119
Reaction score
4,569
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
Very good analysis,
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
Wataalamu wa kodi wafuatilie mfumo wa kodi wa nchi ya Canada ambao kinacho rudishwa kwa jamii kinaoneka dhahiri na hurudishwa pia kwa mlipa kodi ,(as an individual), yaani kwako mwenyewe mlipa kodi, mfano endapo mlipa kodi atasimamishwa kazi ama akipata changamoto ,mfumo umtambue huwezesha kumlipia kodi ya nyumba na posho ya chakula kwakifupi uwe ni mfumo ambao kila mmja apate faida nao usipo utumia inakula kwako
 
Dokta vat ililenga kulipwa na mlaji wa mwisho, sio mzalishaji.
Ndo mana kuna ritani zinafanyika kila mwezi kuanzia kwa prodyuza wa bidhaa, wholesaler, retailers wote wanarudishiwa pesa yao waliyoongeza kwenye thamani ya bidhaa. Ili final consumer ndio target yaani yampasa alipe.
Sasa akichajiwa producer wa bidhaa, naona atabebeshwa mzigo mkubwa na pengine hiyo bidhaa ikawa na bei kubwa zaidi.
 
Dokta vat ililenga kulipwa na mlaji wa mwisho, sio mzalishaji.
Ndo mana kuna ritani zinafanyika kila mwezi kuanzia kwa prodyuza wa bidhaa, wholesaler, retailers wote wanarudishiwa pesa yao waliyoongeza kwenye thamani ya bidhaa. Ili final consumer ndio target yaani yampasa alipe.
Sasa akichajiwa producer wa bidhaa, naona atabebeshwa mzigo mkubwa na pengine hiyo bidhaa ikawa na bei kubwa zaidi.
Hiyo kodi hata ikilipwa na mzalishaji mwisho wa siku bei ya bidhaa husika kwa mlaji itakuwa imecover na hiyo kodi yake. Hii mifumo ya kikodi iliyopo sasa (ya kufanya VAT Return kwa kila mfanyabiashara) inawanufaisha maafisa wa TRA kwenye upigaji. Na ndiyo maana kelele hapo kariakoo na maeneo mengine haziishi. Sheria zimemtengenezea mazingira mfanyabiashara kama ni mhalifu, hivyo ni kazi kwake sasa kujinasua kutoka kwenye huo mtego ndiyo inapelekea hiyo mianya ya rushwa.
 
Dokta vat ililenga kulipwa na mlaji wa mwisho, sio mzalishaji.
Ndo mana kuna ritani zinafanyika kila mwezi kuanzia kwa prodyuza wa bidhaa, wholesaler, retailers wote wanarudishiwa pesa yao waliyoongeza kwenye thamani ya bidhaa. Ili final consumer ndio target yaani yampasa alipe.
Sasa akichajiwa producer wa bidhaa, naona atabebeshwa mzigo mkubwa na pengine hiyo bidhaa ikawa na bei kubwa zaidi.
Kuna usumbufu mkubwa sana. Kuna vitu kwenye makaratasi vinafanya kazi lkn kwenye practical ni ngumu sana. Pia biashara zetu zina fanyika kwa cash ambao huu mfumo hau support haya maswala ya VAT na mambo mengine.
Kama vipi tiache na kufanya biashara za cash labda tutafika huko
 
Dokta vat ililenga kulipwa na mlaji wa mwisho, sio mzalishaji.
Ndo mana kuna ritani zinafanyika kila mwezi kuanzia kwa prodyuza wa bidhaa, wholesaler, retailers wote wanarudishiwa pesa yao waliyoongeza kwenye thamani ya bidhaa. Ili final consumer ndio target yaani yampasa alipe.
Sasa akichajiwa producer wa bidhaa, naona atabebeshwa mzigo mkubwa na pengine hiyo bidhaa ikawa na bei kubwa zaidi.
Hukumuelewa
 
Ukweli ni kwamba kila mtanzania kuanzia akiwa tumboni mwa mama yake analipa kodi ya serikali bila yeye kujua kodi hiyo iko kwenye mfumo wa indirect taxation.

Mfumo huu ni very friendly na hakuna mtu wa kuukwepa hata kama ni mtoto mchanga. Kodi hii iko kwenye kila bidhaa au huduma anayonunua. Mama mjamzito hugawana chakula na mtoto wake aliye tumboni ambacho kalipia kodi.

Tatizo letu ni huu mfumo wa VAT wa kukusanya hiyo indirect taxes za bidhaa na huduma ambazo kila mtanzania hununua. Yaani mfumo uko complex uliojaa ujanja mwingi unaotoa mianya mingi kwa pesa hizo nyingi kuishia kwenye matumbo ya wajanja.

Mfumo wenyewe uko hivi: Chukua mfano kiwanda kinachozalisha bidhaa fulani hususani sementi. Baada ya uzalishaji kiwanda kinapanga kuuza hiyo sementi TZS 10,000 kila mfuko kikiwa kimezingatia gharama na faida ya uzalishaji huo na ushindani wa soko uliopo. Serikali haingilii bei hiyo ya mwenye kiwanda (which is very good).

Badala yake inamwambia serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda aongeze TZS 2,000 kwenye kila mfuko ambayo itakuwa ni kodi ya serikali atakapoiuza (sales tax). Hadi hatua hiyo bado ni very good.

Tatizo na ujanja unaanzia baada ya hatua hiyo. Serikali inamwambia huyo mwenye kiwanda kwamba hiyo TZS 2,000 kwa kila mfuko serikali itamrudishia mwenye kiwanda baada ya serikali (TRA) kupata (VAT) tax returns kutoka muuzaji wa mwisho wa rejareja (retail) aka mmachinga huko Sumbawanga.

Mwenye kiwanda huuza bidhaa zake kwa wholesalers. Hivyo mfuko mmoja wa sementi mwenye kiwanda atamuuzia wholesaler kwa TZS 12,000. Huyu wholesaler naye atapanga bei atakayoiuza hiyo sementi huko Sumbawanga akizingatia gharama ya usafirishaji, faida yake na ushindani wa soko. Bei yake inaweza ikawa TZS 15,000 kwa kila mfuko. TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kama kodi ya serikali (VAT) ambayo atarudishiwa baada huyo atakayemuuzia (retailer) kurejesha tax returns. Hivyo wholesaler atamuuzia retailer mfuko mmoja wa sementi kwa TZS 17,000.

Huyo retailer naye atapanga faida yake na kuona aiuze kwa TZS 20,000. Naye TRA itamwambia aongeze TZS 2,000 kwenye bei hiyo kama VAT na atoe risiti na tax returns. Hivyo bei ya mfuko mmoja wa sementi anaiuza kwa mlaji kwa TZS 22,000.

Katika mfumo huo wa VAT huyo retailer anatakiwa kuandaa na kuwakilisha VAT returns za bidhaa aina zote alizouza kila mwezi ili kuwezesha hao wholesalers na wenye viwanda (source) warejeshewe hizo TZs 2,000 zao. Yeye harudishiwi cho chote.

Mlaji wa mwisho anakuwa ameongezewa TZS 2,000 mara tatu kwenye hiyo thamani ya bidhaa lakini serikali sana sana inaambulia TZS 2,000 tu! Hapo utaona kuna myanya ya wenye viwanda na wholesalers kurejeshewa hizo TZS 2,000 kwa maelewano tu na maafisa wa TRA.

Hapo utaona mapambano ya maafisa wa TRA na retailers kuhusu risiti na tax returns ambao huishia mara nyingi kwa retailers kutoa rushwa kwa maafisa hawa.

Hivyo ndivyo ulivyo mfumo huu wa VAT kwa bidhaa zingine zinazotoka nje ya nchi na ndani ya nchi. Inashangaza zaidi kuwa hata bidhaa zinazozalishwa na taasisi zinazomilikiwa kwa asilimia 100% na serikali nazo zinawekewa kodi ya serikali, yaani serikali inajitoza kodi?

Shirika kama la TANESCO miradi yake imejengwa kwa pesa yetu (kodi zetu). Hata kama baadhi ya pesa iliyotumika tulikopa nje bado kodi zetu zitalipa hilo deni letu. Ni shirika letu, sasa linawezaje kututoza kodi? Sisi ndiyo wenye mamlaka ya kupanga umeme tulipe kwa bei gani ili kuwezesha kulipa mishahara na other charges (OC) za shirika letu zilizopitishwa na bunge letu la bajeti. Ziada ikipatikana inaweza kugharimia mambo mengine hususani madawa na vifaa tiba.

Hitimisho: VAT is nothing but a sales tax. Itozwe mara moja tu kwenye chanzo ya hiyo bidhaa. Kama bidhaa inazalishwa hapa nchini basi huyo mwenye kiwanda pekee ndiye atozwe/ akusanye hiyo kodi na kuiwakilisha serikalini baada ya kuuza bidhaa hiyo.

Hao wholesalers na retail sellers na machinga haiwahusu maana serikali itakuwa ilishachukua kilicho stahili yake. Kama bidhaa inatoka nje ya nchi, serikali ichukue kodi yake pale pale mipakani inapoingilia.

Kwenye zingine kama zile za kilimo na mifugo kodi hii ilipwe kwenye minada mikubwa kutoka kwa wafanya biashara wakubwa wanaonunua bidhaa hizo. Mambo ya kurudishana kodi yawe mwisho.

Kazi ya watumishi wa TRA iwe kwenye maeneo haya tu na kushirikiana na polisi kunasa bidhaa zinazoingia kwa magendo kupitia panya routes. Serikali ni moja. Mambo ya kodi za serikali za mitaa na kodi za serikali kuu (TRA) hayana maana kwa mwananchi.

Zote kwake ni za serikali, wao watajua wanagawana vipi. Mambo ya direct taxations tuachane nayo au yapunguzwe kabisa. Yana maudhi sana na kuwafanya wananchi waichukie serikali yao. Imagine kama kodi ya kichwa ikarejeshwa hata kama ni buku moja tu kwa kila kichwa kwa mwaka, unadhani itakuwaje?
Hata kama VAT itatozwa kwenye chanzo kama ulivyosema basi middlemen watakaofuata ndio watanufaika zaidi unless kuwe na upangaji bei wa bidhaa kama ilivyo Mafuta,maji nk

Pili ,nakubalina na wewe kwamba mzalishaji kama huyo mwenye kiwanda iwaje arejeshewe Kodi wakati ameingiza Mapato? Hiyo Elfu 2 ndio ilitakiwa iwe Kodi yake sanjali na wauzaji wengine wa Jumla,kuwarejeshea ni kwamba wao wanakwepa Kodi na tax burden inamuelemea zaidi final consumer,kama ndivyo ilivyo hili haikubaliki kabisa.
 
Dokta vat ililenga kulipwa na mlaji wa mwisho, sio mzalishaji.
Ndo mana kuna ritani zinafanyika kila mwezi kuanzia kwa prodyuza wa bidhaa, wholesaler, retailers wote wanarudishiwa pesa yao waliyoongeza kwenye thamani ya bidhaa. Ili final consumer ndio target yaani yampasa alipe.
Sasa akichajiwa producer wa bidhaa, naona atabebeshwa mzigo mkubwa na pengine hiyo bidhaa ikawa na bei kubwa zaidi.
Alichokieleza mleta hoja:
1: VAT-mzalishaji
2: VAT-muuzaji wa jumla/wholesaler
3: VAT- muuzaji mdogo/retailer

1 na 2 zina return ni kweli, ila zinaathiri bei ya bidhaa sokoni kuwa kubwa. Mnunuzi ananunua bidhaa yenye 60% VAT au zaidi baada ya hizi VAT kuongezwa na zenyewe kwenda kujinyumbulisha/kuzaa.

Mfano: namba moja pia baada ya kujiongeza, itaongeza 18% ya namba mbili, namba tatu itachukua 1&2 pia pamoja na gharama nyinginezo/value added.

Kama kodi inalipwa na mnunuzi wa mwisho, kwa nini muuzaji wa mwisho/retailer ndo asiweke VAT baada ya mnyororo wote wa thamani kuongezeka?

Hii inatokana na kwamba mzalishaji wa mwanzo hatajua bidhaa aliyoizalisha hapo kwake ndo imeanza kuitwa bidhaa na yeye hawezi kujua itaongezeka thamani gani huki mbele. Inakuwa ni too theoretical kulipa VAT kwani bidhaa haijaongezeka thamani yake halisi/bado iko kwake.

Kama utekelezaji huo hauwezekani, basi itafutwe namna njema isiyo na athari kubwa kwa mnunuzi wa mwisho.
 
Alichokieleza mleta hoja:
1: VAT-mzalishaji
2: VAT-muuzaji wa jumla/wholesaler
3: VAT- muuzaji mdogo/retailer

1 na 2 zina return ni kweli, ila zinaathiri bei ya bidhaa sokoni kuwa kubwa. Mnunuzi ananunua bidhaa yenye 60% VAT au zaidi baada ya hizi VAT kuongezwa na zenyewe kwenda kujinyumbulisha kuzaa.

Mfano: namba moja pia baada ya kujiongeza, itaongeza 20% ya namba mbili, namba tatu itachukua 1&2 pia pamoja na gharama nyinginezo/value added.

Kama kodi inalipwa na mnunuzi wa mwisho, kwa nini muuzaji wa mwisho/retailer ndo asiweke VAT baada ya mnyororo wote wa thamani kuongezeka?

Hii inatokana na kwamba mzalishaji wa mwanzo hatajua bidhaa aliyoizalisha hapo kwake ndo imeanza kuitwa bidhaa na yeye hawezi kujua itaongezeka thamani gani huki mbele. Inakuwa ni too theoretical kulipa VAT kwani bidhaa haijaongezeka thamani yake halisi/bado iko kwake.

Kama utekelezaji huo hauwezekani, basi itafutwe namna njema isiyo na athari kubwa kwa mnunuzi wa mwisho.
Hakuna bidhaa inauzwa bila kufanyiwa marketing na kujua kama itauzika.

Pili Kwa bidhaa ambazo tayari zinauzika,wenye viwanda wao wanalipa Kodi ipi baada ya kupata returns? Maana Kwa hayo maelezo ni kama hawalipi chochote kitu ambacho Sina hakika kama ndivyo.

Returns nk zinalenga kumsaidia mzalishaji,muizaji nk kukokotoa gharama zake za Uendeshaji Ili Kodi itizwe kwenye faida
 
Hakuna bidhaa inauzwa bila kufanyiwa marketing na kujua kama itauzika.

Pili Kwa bidhaa ambazo tayari zinauzika,wenye viwanda wao wanalipa Kodi ipi baada ya kupata returns? Maana Kwa hayo maelezo ni kama hawalipi chochote kitu ambacho Sina hakika kama ndivyo.

Returns nk zinalenga kumsaidia mzalishaji,muizaji nk kukokotoa gharama zake za Uendeshaji Ili Kodi itizwe kwenye faida

1: Viwanda vina kodi zake nyingine kwenye uendeshaji wa jumla. Hii ni kulingana na mamlaka mbalimbali mpaka kupaya leseni ya uwepo wa kiwanda husika na operations zake.
Pia, kuna tasisi mbalimbali za kikodi, usalama, mazingira nk.

2: Tumezungumzia VAT kutozwa kiwandani, wakati value haijakamilika.
Huyu anaeyoza hii hurejeshewa return ya VAT aliyotoza hivyo hawajibiki hapo. Ila atjari ya VAT yake huendelea mpaka kwa muuzaji wa mwisho na huku wholesaler na retailer nae anaweka VAT.

3: Suala hapa si kuwa bidhaa haiuziki ila tunazungumzia GHARAMA halisi anayobeba mnunuzi wa mwisho kutokana na multiple VAT.
 
1: Viwanda vina kodi zake nyingine kwenye uendeshaji wa jumla.

2: Tumezungumzia VAT kutozwa kiwandani, wakati value haijakamilika.
Huyu anaeyoza hii hurejeshewa return ya VAT aliyotoza hivyo hawajibiki hapo. Ila atjari ya VAT yake huendelea mpaka kwa muuzaji wa mwisho na huku wholesaler na retailer nae anaweka VAT.

3: Suala hapa si kuwa bidhaa haiuziki ila tunazungumzia GHARAMA halisi anayobeba mnunuzi wa mwisho kutokana na multiple VAT.
Lazima tujue hizo Kodi za Viwanda kwanza ndio tujadili mantiki ya VAT hapo kiwandani maana Serikali isingeiweka hapo Kwa mzalishaji kama ana Kodi zake zingine ,ingeweza kuweka tuu Kwa wholeseller na Retailers.
 
Hata kama VAT itatozwa kwenye chanzo kama ulivyosema basi middlemen watakaofuata ndio watanufaika zaidi unless kuwe na upangaji bei wa bidhaa kama ilivyo Mafuta,maji nk

Pili ,nakubalina na wewe kwamba mzalishaji kama huyo mwenye kiwanda iwaje arejeshewe Kodi wakati ameingiza Mapato? Hiyo Elfu 2 ndio ilitakiwa iwe Kodi yake sanjali na wauzaji wengine wa Jumla,kuwarejeshea ni kwamba wao wanakwepa Kodi na tax burden inamuelemea zaidi final consumer,kama ndivyo ilivyo hili haikubaliki kabisa.
Kumbe saazingine chawa huuweka pembeni u Zombie wake isee!

Nimetazama Points zote tangia mtoa mada na wote waliofuatia kuchangia, hii point yako muhimu hawajaiona!

Kama kutakuwa na tax return kwa mzalishaji, whole seler na retailer, sasa wao ni eneo gani watakuwa wamelipa kodi?

Ni mlaji wa mwisho pekee nd'oatakuwa kalipa.

Mfumo huu wenye utata na figisu katika kulipa kodi ufumuliwe na kupangwa upya ili kila mtu awajibike.
 
Kumbe saazingine chawa huuweka pembeni u Zombie isee!

Nimetazama Points zote tangia mtoa mada na wote waliofuatia kuchangia, hii point yako muhimu hawajaiona!

Kama kutakuwa na tax return kwa mzalishaji, whole seler na retailer, sasa wao ni eneo gani watakuwa wamelipa kodi?

Ni mlaji wa mwisho pekee nd'oatakuwa kalipa.

Mfumo huu wenye utata na figisu katika kulipa kodi ufumuliwe na kupangwa upya ili kila mtu awajibike.
Chawa ndio nini?

Kwa concept ya VAT,watoa Huduma na wazalishaji ,wauzaji hawalipi.kodi.ila mlipa Kodi ni consumer.

Kwamba wao Kwa kuwa wame incur risk za uzalishaji,usambazaji na kuwa mawakala wa kukusanya Kodi za Huduma na bidhaa hawatakiwi kulipa Kodi ila kula faida tuu? Haikubaliki
 
Back
Top Bottom