Kodi zetu zinatafunwaa vilivyo, Makonda atatoa zawadi ya Mil 10

Mapenzi ni mapenzi tu. Mkia kusifia mkia wa mwenzake siyo dhambi.
 
Kwani ni za Serikali?
Mimi nadhani ni za kwake sio mbaya.
 
Mtoto mpendwa wa baba hufanya atakalo. Anaweza kumshika baba kalio na asifanywe chochote
 
Mbona hilo jamaa linampenda sana Manula
Mwanaume hutakiwi kuwa hivyo
Isije ikawa ni nyuki wa mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…